Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,985
Nyumba yangu bana, gari ndo lake natumia kwa muda ntanunua langu mwakani. Pesa utaiona mwenyeweSikai nyumba ya urithi, wala situmii gari la familia, pesa ya mboga tu hata mimi ninayo
Nyumba yangu bana, gari ndo lake natumia kwa muda ntanunua langu mwakani. Pesa utaiona mwenyeweSikai nyumba ya urithi, wala situmii gari la familia, pesa ya mboga tu hata mimi ninayo
Kumtengua wapi, hata sijawahi kuteua popote ila anapenda tu kunizibia rizikiAnatengua fasta kama wewe ulivyomteua lucas mobutu na kumtengua



Umeona eh mkuu ? Jana tu usiku nilipendwa hatari afu saivi anaringaAnatengua fasta kama wewe ulivyomteua lucas mobutu na kumtengua
Kumtengua wapi, hata sijawahi kuteua popote ila anapenda tu kunizibia riziki![]()
riziki gani ? Akati mi nishakutangazia rizikiRiziki yako huenda ipo kwake so mvumilie kijana mwenzioKumtengua wapi, hata sijawahi kuteua popote ila anapenda tu kunizibia riziki![]()
Afu anataka umri huu niwe na gari tayari na pesa nyingi bankRiziki yako huenda ipo kwake so mvumilie kijana mwenzio
Pesa nyingi kama huna niachie Mimi maana kashasema hajui kupika so sidhani kama utamuweza..Afu anataka umri huu niwe na gari tayari na pesa nyingi bank
Mkuu,Pesa nyingi kama huna niachie Mimi maana kashasema hajui kupika so sidhani kama utamuweza..
nitampikia tuMwenzio akinyolewa zako tia maji, vipi wewe una nyumba, gari na pesa za kutosha?Riziki yako huenda ipo kwake so mvumilie kijana mwenzio
Pesa za kutosha sina, but nikiangalia CV yako hapa unasema kuwa hujui kupika na mambo ya chumbani huyajuiMwenzio akinyolewa zako tia maji, vipi wewe una nyumba, gari na pesa za kutosha?
Pesa nyingi kama huna niachie Mimi maana kashasema hajui kupika so sidhani kama utamuweza..
Mshajua udhaifu wangu sasa mwautumia kama fimbo ya kunichapiaMkuu,nitampikia tu



Hvi ni kweli hujui kupika ?Mshajua udhaifu wangu sasa mwautumia kama fimbo ya kunichapia![]()
Siyajui ndio, kwahiyo?Pesa za kutosha sina, but nikiangalia CV yako hapa unasema kuwa hujui kupika na mambo ya chumbani huyajui
Kwa hiyo nipo tayari kuvumilia but na wewe ulegeze kidogo mashartiSiyajui ndio, kwahiyo?
Ndio sijuiHvi ni kweli hujui kupika ?

Wale ma kungwi niliowapa pesa wakufundishe ?Ndio sijui![]()
Masharti napunguza, uwe na nyumba na pesa. Gari tutanunua wote na wewe ukubali kunipikia kila sikuKwa hiyo nipo tayari kuvumilia but na wewe ulegeze kidogo masharti
Pesa uliwapa saa ngapi, acha uongoWale ma kungwi niliowapa pesa wakufundishe ?
Niliwapa we waulize tuuPesa uliwapa saa ngapi, acha uongo
