Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Ugali, wali, nyama, ndizi ...
Ndizi unapika hivi, unamenya ndizi then unazikata unaweka kwenye sufuria na maji, baadae unakatia katia nyanya,vitunguu, karoti na hoho unaweka jikoni baada ya hapo subiria ziive, hatimaye chakula tayari
 
Ndizi unapika hivi, unamenya ndizi then unazikata unaweka kwenye sufuria na maji, baadae unakatia katia nyanya,vitunguu, karoti na hoho unaweka jikoni baada ya hapo subiria ziive, hatimaye chakula tayari
Tayari hii nishajua, asante sana. Je, nyama?
 
Back
Top Bottom