Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Watu hawaaminiki, unaweza kumtangazia biashara lakini asikulipeHicho kipato utakipata kutokana kutangaza biashara za watu
Watu hawaaminiki, unaweza kumtangazia biashara lakini asikulipeHicho kipato utakipata kutokana kutangaza biashara za watu
Asikulipe vipi, wakati anaanza yeye kulipa then wewe ndio unamtangazia biasharaWatu hawaaminiki, unaweza kumtangazia biashara lakini asikulipe
Biashara gani kwa mfanoAsikulipe vipi, wakati anaanza yeye kulipa then wewe ndio unamtangazia biashara
Mfano biashara ya kuuza nguo za kikeBiashara gani kwa mfano
Nguo za kike kumbe!Mfano biashara ya kuuza nguo za kike
Kumbe wewe ulijua nini??Nguo za kike kumbe!
Nini, hata nilikuwa sijui chochoteKumbe wewe ulijua nini??
Chochote hujui...., kumbe ndio maana jana nilikuona kwenye Uzi flani hivi ukiomba ufundishwe jinsi ya kupikaNini, hata nilikuwa sijui chochote
Kupika kweli sijui kabisa, naomba unifundisheChochote hujui...., kumbe ndio maana jana nilikuona kwenye Uzi flani hivi ukiomba ufundishwe jinsi ya kupika
nikufundishe kupika nini?Kupika kweli sijui kabisa, naomba unifundishe
Kupika kila kitunikufundishe kupika nini?
Kitu kama chaiKupika kila kitu
Chai najua bwana, si ninachemsha maji na kutia sukari na majani. Nifundishe vingineKitu kama chai
Vingine kama ugali??Chai najua bwana, si ninachemsha maji na kutia sukari na majani. Nifundishe vingine
Ugali, wali, nyama, ndizi ...Vingine kama ugali??
Ndizi unapika hivi, unamenya ndizi then unazikata unaweka kwenye sufuria na maji, baadae unakatia katia nyanya,vitunguu, karoti na hoho unaweka jikoni baada ya hapo subiria ziive, hatimaye chakula tayariUgali, wali, nyama, ndizi ...
Tayari hii nishajua, asante sana. Je, nyama?Ndizi unapika hivi, unamenya ndizi then unazikata unaweka kwenye sufuria na maji, baadae unakatia katia nyanya,vitunguu, karoti na hoho unaweka jikoni baada ya hapo subiria ziive, hatimaye chakula tayari
Nyama sipikagi Bali nachomaTayari hii nishajua, asante sana. Je, nyama?
Nachomaje?Nyama sipikagi Bali nachoma
Nachoma kwa kutumia ovenNachomaje?