kubwa_Lao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 934
- 1,186
Imenyooka kwani ilikua imepinda?Siku hizi Tanzania imenyooka
Imenyooka kwani ilikua imepinda?Siku hizi Tanzania imenyooka
Imepinda Kama ndizi?Imenyooka kwani ilikua imepinda?
Imepinda? Ndio ilikuwa imepinda Mkuu. Kumbuka.Imenyooka kwani ilikua imepinda?
Kumbuka tanzania haijawahi kupindaImepinda? Ndio ilikuwa imepinda Mkuu. Kumbuka.
Kupinda kupi unapomaanisha wewe?Kumbuka tanzania haijawahi kupinda
Kupinda hili ni neno tu linaloiwakilisha yaliyokuwemo Tanzania ndani ya miaka mitatu iliyopita na si Tanzania kama Tanzania.Kumbuka tanzania haijawahi kupinda
Diana na mileleTanzania Tanzaniaaa, mola awe nawe daima
Daima na milele
Barabara kabisa Hajar.....na sio kushukuru kwa Muumba tu ni vizuri pia kuwashukuru na binadamu wenzio walikutendea memaKushukuru kwa Muumba kila uchwao kwa uzima tulio nao ni jambo lililo bora sana.
Milele aminaDiana na milele
Amina ni jina pia.Milele amina
Pia alikua mwalimu wangu wa hesabu, umenikumbusha mbaliAmina ni jina pia.
Mbali wapi Sesten mie najuaga mbali ni mawinguni pekee.Pia alikua mwalimu wangu wa hesabu, umenikumbusha mbali
Pekee, inategemea, mbali kwenda huko ama kwa kuangalia!Mbali wapi Sesten mie najuaga mbali ni mawinguni pekee.
Kwa kuangalia kunaonekana mbali. Au unakuonaje sio mbali?Pekee, inategemea, mbali kwenda huko ama kwa kuangalia!
Mbali na nyumbani? Nilishawahi kukisoma hicho kitabuKwa kuangalia kunaonekana mbali. Au unakuonaje sio mbali?
Mbali kwa kufikiria lakini kuona ni karibu, wewe waonaje HajarKwa kuangalia kunaonekana mbali. Au unakuonaje sio mbali?
Hajar atakua amekuelewa vizuri mkuuMbali kwa kufikiria lakini kuona ni karibu, wewe waonaje Hajar