Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kufikiri kupo CCM, chadema wao ni kuropoka tu bila sababu.
 
Sababu kuu ya ccm kuwa madarakani ni ubabe,Nguvu na ujinga wa binadamu wengi wa Tanzania.
Tanzania ni nchi ya maziwa na asali kama isingekua siasa za kutafuta umaarufu kwa viongozi
 
Tanzania ni nchi ya maziwa na asali kama isingekua siasa za kutafuta umaarufu kwa viongozi
Viongozi wetu walio wengi hawana dira na maono na mipango bora ya kututoa katika dimbwi la umasikini.
 
Back
Top Bottom