Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Katoliki ndio R.CSana tu. Tena ile ya mbuzi katoliki
Katoliki ndio R.CSana tu. Tena ile ya mbuzi katoliki
Katoliki ni kanisa la kikristo lililo kubwa saana duniani lenye mifumo thabiti.Sana tu. Tena ile ya mbuzi katoliki
Thabit Kombo alikuwa ni mmojawapo wa vingunge wa nchi hiiKatoliki ni kanisa la kikristo lililo kubwa saana duniani lenye mifumo thabiti.
Hii nchii gani??..Thabit Kombo alikuwa ni mmojawapo wa vingunge wa nchi hii
Nchi gani ulishawahi ona ina vilaza na watu wenye upeo mdogo kama Tanzania ??.............Hii nchii gani??..
Cappacino ndo nchi gani!Tanzania, wala si msanii jamani
Kama ni uzalendo tuanze na utalii wa ndani
Nchi ambayo sista du hajui Emcee ni nani
Field Marshall nawachora ma-MP vitani
Nijenge nikujenge, tujenge na tupendane
Siyo una-like fan page yangu ili unitukane
Au nifanye kama Dimpoz nadai
Nikate mauno, Rich Mavoko, bolingo nangai
Nchi ambayo wawekezaji imewabidi kusanda
Mashoga kibao, Bongo umagharibi umetanda
Sababu ya joto, hasira inazidi kupanda
"Stay Positive" aliniambia Fareed Kubanda
Karibuni Tanzania, Wazungu, Walatino
Wa-Dutch, Wazulu, Waarabu, Wafilipino
Toka Ukonga ya Ilala, Temeke wapi Kino
Na ukitaka Ganja kali ni Sinza kwa Cappacino
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sana kabisa manaake waweza ozea segerea huku washenzi wakichekelea.Time kama hizi ni time za kuwa waangalifu sana.
Unapotea katika shimo la hewa.wakichekelea wakati wewe unapotea
Nitaamka kisha nitashukuru MunguMapema sana kesho nitaamka
Mungu ni mwema nimemaliza kazi niliyokuwa naifanyaNitaamka kisha nitashukuru Mungu
26/04 ndo wataandamanaNaifanya kama vile nalipwa hadi tarehe 26/04
Wataandamana kudai haki zao26/04 ndo wataandamana
Haki zao watazipata mbinguni na si duniani.Wataandamana kudai haki zao
Duniani ni sehemu na njia ya kwenda mbinguniHaki zao watazipata mbinguni na si duniani.