ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,460
- 67,430
Pumzika upunguze uchovuBaada ya kutoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima sasa napumzika
Pumzika upunguze uchovuBaada ya kutoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima sasa napumzika
Uchovu utapungua endapo utanitembelea kwanguPumzika upunguze uchovu
Kwa nguvu zote nitakutembelea PMUchovu utapungua endapo utanitembelea kwangu
PM yangu ina watu wenye busara tu wewe utakuwa miongoni mwao naomba uje haraka tuje tufaidi busara zetuKwa nguvu zote nitakutembelea PM
PM yangu ina watu wenye busara tu wewe utakuwa miongoni mwao naomba uje haraka tuje tufaidi busara zetu
Nani atayemvisha paka kengeleMusiba ndio nani?
Kengele ya bomani, ni lile neno Mitomingi alimtania Ngoswe ''Masarawili yako kama kengele ya bomani" maana alikuwa amevaa suruali za enzi zile zilizokuwa na mtindo wa kubana sehemu ya magotini huku zikitanuka chini sehemu ya miguuniNani atayemvisha paka kengele
Miguuni, tumboni, began, ni baadhi ya sehem alizopigwa risasi lissuKengele ya bomani, ni lile neno Mitomingi alimtania Ngoswe ''Masarawili yako kama kengele ya bomani" maana alikuwa amevaa suruali za enzi zile zilizokuwa na mtindo wa kubana sehemu ya magotini huku zikitanuka chini sehemu ya miguuni
PM tayari nimeshaionaKwa nguvu zote nitakutembelea PM
Lissu amekuwa maarufu sana mwaka uliopitaMiguuni, tumboni, began, ni baadhi ya sehem alizopigwa risasi lissu
Pita na huku mchezo uendeleePM tayari nimeshaiona
Lissu amekuwa maarufu sana mwaka uliopita
Baba jesca au?Kutimiaje wakati huyo ni usingizi wa baba?
Baba chanjaBaba jesca au?
Aunganishe vizuri antena ili iweze kunasa vizuri mawimbi ya radioBaba jesca au?
Radio gan hasaAunganishe vizuri antena ili iweze kunasa vizuri mawimbi ya radio
Hasara yake ni kubwa sana usipotatua mapemaRadio gan hasa
Mapema leo nimesikia habari kuhusu lissu, kushtakiwa sijui ni za kweliHasara yake ni kubwa sana usipotatua mapema
Kweli wamehusika, ndio maana Hawana huruma nae hata kidogo,Mapema leo nimesikia habari kuhusu lissu, kushtakiwa sijui ni za kweli
Kidogo kitaeleweka maana ishu nzima inaenda mahakamaniKweli wamehusika, ndio maana Hawana huruma nae hata kidogo,
Mahakamani ni sehemu panapotafsiriwa sheriaKidogo kitaeleweka maana ishu nzima inaenda mahakamani
Sheria msumeno,Mahakamani ni sehemu panapotafsiriwa sheria