Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Uhakika wa angalau 90% ya maji safi na salama ndio tunàouhitaji kwanza. Tuachane kushirikiana maji pamoja na wanyama, mithili ya kuruti ndani ya "six week", bei ya mafuta ya taa ishuke pia, (n.k) iwe rafiki ya bibi yangu aliyeko kule Lusala.
Baada/sanjali na hapo ndio umeme ufuate baada kidogo ya maji kunyanyua mguu. Hapo tutaifurahia Tanganyika angalau tunayoiota kila uchwao.
Kila uchwao afadhali ya jana
 
Back
Top Bottom