Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,095
- 122,457
Kuusikia nimewahi ila sio mmoja bali ni mingi wewe unasemea upi huo.Shida wimbo Mbarak Mwinshehe uliishawahi kuusikia?
Kuusikia nimewahi ila sio mmoja bali ni mingi wewe unasemea upi huo.Shida wimbo Mbarak Mwinshehe uliishawahi kuusikia?
Huo wa "Hakuna kitu kibaya hapa Duniani kama shida, haichagui siku wala mwaka..."Kuusikia nimewahi ila sio mmoja bali ni mingi wewe unasemea upi huo.
Mwaka huu hata sitaki uishe mana niliyoyapanga niyafanikishe mpaka sasa yametimia kwa asilimia arobaini na tano pekeeHuo wa "Hakuna kitu kibaya hapa Duniani kama shida, haichagui siku wala mwaka..."
Pekee yangu siwezi-bahati bukuku.Mwaka huu hata sitaki uishe mana niliyoyapanga niyafanikishe mpaka sasa yametimia kwa asilimia arobaini na tano pekee
Bahati bukuku ni muimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania.Pekee yangu siwezi-bahati bukuku.
Tanzania Taifa la bongo watu wanausongo/Bahati bukuku ni muimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania.
Wengi wao ni waongo Tanzania wote taifa la bongo kwenye hard time tuna make bingo. Hahaaaaa. Nishasahau ni kundi gani ila najua ndani kulikuwa na Suma lee. Si eti...Tanzania Taifa la bongo watu wanausongo/
lakini wao wengi ni waongo/
Eti...hahaha Heshima kwako miss emmyta, Wimbo wa B town clan,suma Lee kaweka kolasi.Wengi wao ni waongo Tanzania wote taifa la bongo kwenye hard time tuna make bongo. Hahaaaaa. Nishasahau ni kundi gani ila najua ndani kulikuwa na Suma lee. Si eti...
Udongo mfinyanzi. Hahaaa. Bora umenikumbusha mana nilishasahau ujueEti...hahaha Heshima kwako miss emmyta, Wimbo wa B town clan,suma Lee kaweka kolasi.
"Mupe mupe mupe raha,nazungumuzia bongo taifa lenye vitu vingi chini ya udongo"
Ujue leo ni kupatwa kwa mwezi.Udongo mfinyanzi. Hahaaa. Bora umenikumbusha mana nilishasahau ujue
Unapatwa ndiyo, mbona wastuka!
Unapatwa leo lakini watu wasayansi ya fizikia wanadai ni partial lunar eclipse kumbuka pia kuna total lunar eclipse ..hivyo saa tatu uwe macho.
Mbona wastuka bbc ni kweli ujueUnapatwa ndiyo, mbona wastuka!
Ujue nimemumiss jakitoo..jakitoo u-wapi..?Mbona wastuka bbc ni kweli ujue
Mwezi huu sijaoneka ndo Hata nsinitaje ET ndugu zanguMrefu muda hajaonekana kweli kwa uzi au atakuwa anasubiri k upatwa kwa mwezi.
Zangu zangu zako zangu pia!