Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Memory haiwezi kuisha, tumekumbukamo ya utoto
Memory haiwezi kuisha, tumekumbukamo ya utoto
Kabisa yani na mchezo tukaupungua hapo hapo.Mweeh... Acha kunidanganya bhanaa... Yale mateke hayavumiliki kabisaa
Kabisa Yani Tena Ukichanganya Na Zile Pushup Ni zaidi Ya JeshiMweeh... Acha kunidanganya bhanaa... Yale mateke hayavumiliki kabisaa
Jeshi tena mkuu...
Huu mchezo siupati bhanaaKabisa yani na mchezo tukaupungua hapo hapo.
Ila nami nilikuja kumpata kwenye ule mchezo wa mambata yaliyoenda shule, mchezo wa "kula mbakishie baba" Una kumbukumbu ya huu mchezo?
bhanaa Sakayo unazingua, au umezaliwa Masaki?Huu mchezo siupati bhanaa
Masaki waaapii... Nikumbushe hebubhanaa Sakayo unazingua, au umezaliwa Masaki?
Sent From Ikulu-Magogoni street
Bhana wewe huujui ule mchezo, mnakusanya mchanga mithili ya kijimlima, hafu mnachomeka kijiji katikati, hafu mnaanza kula hiko kimlima. Sasa msala kipindi unakula ule mchanga, kijiti kianguke kwako.....hapo utakula mambata mpaka mgongo uwake moto.Huu mchezo siupati bhanaa
memory haiwez kuisha tumekumbukamo ya utotoMemory haiwezi kuisha, tumekumbukamo ya utoto
Huu hapaMasaki waaapii... Nikumbushe hebu
Bhana wewe huujui ule mchezo, mnakusanya mchanga mithili ya kijimlima, hafu mnachomeka kijiji katikati, hafu mnaanza kula hiko kimlima. Sasa msala kipindi unakula ule mchanga, kijiti kianguke kwako.....hapo utakula mambata mpaka mgongo uwake moto.
Salama yako ni kutoka nduki na kwenda kuugusa mti(mara nyingi hutumika mti kama ndio kifunguzi/salama yako) na hapo ndipo mnaporudi na kuanza tena mchezo upya.
Kuisha kwa mchezo huu mpaka mmoja wenu akasirike, mzichape za maana, na kupungua urafiki.
Urafiki wa enzi hizo ni sheeedaa.. Yaani mkuu nimecheka mpaka Sina hamu ujueBhana wewe huujui ule mchezo, mnakusanya mchanga mithili ya kijimlima, hafu mnachomeka kijiji katikati, hafu mnaanza kula hiko kimlima. Sasa msala kipindi unakula ule mchanga, kijiti kianguke kwako.....hapo utakula mambata mpaka mgongo uwake moto.
Salama yako ni kutoka nduki na kwenda kuugusa mti(mara nyingi hutumika mti kama ndio kifunguzi/salama yako) na hapo ndipo mnaporudi na kuanza tena mchezo upya.
Kuisha kwa mchezo huu mpaka mmoja wenu akasirike, mzichape za maana, na kupungua urafiki.
bhanaa Sakayo unazingua, au umezaliwa Masaki?
Sent From Ikulu-Magogoni street
Mkuu furahi tuu.. Kuna mchezo wa kushika fimbo sasa mbinde inakuja ukipokonywa, watu woote wenye fimbo hukushambulia usiombe upatwememory haiwez kuisha tumekumbukamo ya utoto![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umefurahisha sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
ujue sasa huo mchezo balaa sanaUrafiki wa enzi hizo ni sheeedaa.. Yaani mkuu nimecheka mpaka Sina hamu ujue
upatwe na pato lako mkuuMkuu furahi tuu.. Kuna mchezo wa kushika fimbo sasa mbinde inakuja ukipokonywa, watu woote wenye fimbo hukushambulia usiombe upatwe
Mkuu wa kitengo cha Masoko Zantel ni nani? Naona inakufa kifo cha mende hivi huu mtandao bado upo kweli?
Balaa sana asee, mbaya zaidi wakushike sasa(wakuzuie) usifike kwenye kifunguo wewe, utajuta asee. Ila michezo mingi ya utotoni ilikuwa inatufunza vitu
Hapa nimeelewaHuu hapa
Sent From Ikulu-Magogoni street