Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,526
Mwalimu nyerere ndio Rais wa kwanza Tanzania.Taifa litajengwa na vijana wenye moyo. Msemo enzi za Mwalimu
Mwalimu nyerere ndio Rais wa kwanza Tanzania.Taifa litajengwa na vijana wenye moyo. Msemo enzi za Mwalimu
Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili, watanga na nyika na nchi gani vile!Mwalimu nyerere ndio Rais wa kwanza Tanzania.
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo woteMwalimu nyerere ndio Rais wa kwanza Tanzania.
Moyo wote umedondokea kwenye huu uzi wa wambuziTanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Wambuzi kumbe mbaya hivyo, kaudondosha moyo emmyta, kwahiyo sasa huna moyo!Moyo wote umedondokea kwenye huu uzi wa wambuzi
Wambuzi siku nyingi sana kapotea asee, hata akiitwa haji. Sijui kakumbwa na nini jamani!Moyo wote umedondokea kwenye huu uzi wa wambuzi
Yangu furaha ni kukuona daderi wangu ukifurahi. Usijali jamani emmy, ni stori za kuchagiza kijiwe. Mimi najua fika kabisa kamoyo kako kapo kule kwa....Kweli tupu eti daah. Hata wewe kaka yangu
Kwa..... kwako wewe!Yangu furaha ni kukuona daderi wangu ukifurahi. Usijali jamani emmy, ni stori za kuchagiza kijiwe. Mimi najua fika kabisa kamoyo kako kapo kule kwa....
Kwa.....Yangu furaha ni kukuona daderi wangu ukifurahi. Usijali jamani emmy, ni stori za kuchagiza kijiwe. Mimi najua fika kabisa kamoyo kako kapo kule kwa....
Sawa kabisa ndio huko huko umedondokea moyo wangu.Kinyongo wewe huna, emmyta nadhani anacho
Anacho wapi! Daderi wangu ni mtu poa sana asee, huwa hana hizo.Kinyongo wewe huna, emmyta nadhani anacho
Hizo ndo shereheshi zangu kwa leo, niwatakie usiku mwema na mapumziko mema kwenu ninyi nyote.Anacho wapi! Daderi wangu ni mtu poa sana asee, huwa hana hizo.