Kufa kufaana. Halafu unapenda maneno ya kufa kufa ujue natishika banaJamani tena raha sana km kufa
Bana unaogopa nn?Kufa kufaana. Halafu unapenda maneno ya kufa kufa ujue natishika bana
Vitu vya kawaida mbona?Mbona kuna watu sijawaona humu tangu jana. Sijui wazima?Bana unaogopa nn?Vitu vya kawaida mbona?
Wazima sana lkn hawajapata muda wa kuja jukwaani ndio maana jukwaa limepooza tangu janaMbona kuna watu sijawaona humu tangu jana. Sijui wazima?
Jana na leo. Mi sikosi humuWazima sana lkn hawajapata muda wa kuja jukwaani ndio maana jukwaa limepooza tangu jana
Humu hatukosi wote tupoJana na leo. Mi sikosi humu
Tupo kama kawa kama dawa.Humu hatukosi wote tupo
Dawa ya huu uzi hauna mwishoTupo kama kawa kama dawa.
Mwisho wake sote tutakua washindiDawa ya huu uzi hauna mwisho
Washindi wa niniMwisho wake sote tutakua washindi
Nini unamaanisha alibakari. Washindi wa uzi wa WambuziWashindi wa nini
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Mikia tu ya ng'ombe ndio sijawahi kunywa supu yake.Wambuzi au uwe wa ng'ombe yote ni mikia tu
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Supu yake nzuri sana, jaribu one dayMikia tu ya ng'ombe ndio sijawahi kunywa supu yake.
One day nitajaribu aiseeSupu yake nzuri sana, jaribu one day
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Aisee na mm natakaOne day nitajaribu aisee

Nataka kuwasema kwa kukaa kimya jana kutwaAisee na mm nataka![]()
Kutwa kuranda mitandaoni sio vyema. Mm nishatoa sababu yangu kwa nn jana cjahudhuria, mwwnyekiti anaijuaNataka kuwasema kwa kukaa kimya jana kutwa