mzado
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 1,023
- 1,534
MAULANA ni wetu sote na anatupenda, lkn ss ndio tunatatizoKumuona tayari sema huamini kama ni yeye ndo umepewa na MAULANA
MAULANA ni wetu sote na anatupenda, lkn ss ndio tunatatizoKumuona tayari sema huamini kama ni yeye ndo umepewa na MAULANA
Pepo utaiona ukimpendeza Mola wako, kumfuata lucifer pia nimaamuzi yakoTatizo ni lucifer,
Ana wivu na sisi kuiona pepo.
2015 ilikua fiesta tu, mengine mbwembwe tusubiri 2020Yako wapi tulioahidiwa 2015?
Hawana habari na walishasahau kama waliahidiwa kompyuta mpakato mana hata pa kwenda kuzidai hawapajui ni wapi.2015 kuna kundi la watu waliahidiwa kompyuta mpakato, wakati nyumba za kuishi hawana.
Wapi hapa Duniani utapata serikali kama ya TZHawana habari na walishasahau kama waliahidiwa kompyuta mpakato mana hata pa kwenda kuzidai hawapajui ni wapi.
TZ ndio nchi ambayo viongozi wanatumbuliwa kila kukichaWapi hapa Duniani utapata serikali kama ya TZ
Kukicha tunamskiliza mkulu anakuja namakinikia ganiTZ ndio nchi ambayo viongozi wanatumbuliwa kila kukicha
Makinikia gani au yale yaliyofanya macho na masikio yetu kusikiliza kinachoendelea. Japo kuwa kwa sasa habari yake inafifia taratibu mana hatuoni kinachoendelea.Kukicha tunamskiliza mkulu anakuja namakinikia gani
Kinachoendelea Jf nyuzi zote za Raimundonization zimefutwa..Makinikia gani au yale yaliyofanya macho na masikio yetu kusikiliza kinachoendelea. Japo kuwa kwa sasa habari yake inafifia taratibu mana hatuoni kinachoendelea.
Zimefutwa kweli. Itakuwa mods wameona imeshatosha na ujumbe kila mtu umemfikia hivyo kwa ataye assistiwa na kukubali kutoa assist itakuwa ni ujinga wake mwenyewe.Kinachoendelea Jf nyuzi zote za Raimundonization zimefutwa..
Mwenyewe assist sitakaa nisahau abadaniZimefutwa kweli. Itakuwa mods wameona imeshatosha na ujumbe kila mtu umemfikia hivyo kwa ataye assistiwa na kukubali kutoa assist itakuwa ni ujinga wake mwenyewe.
Abadani hata mie pia sitasahau kirahisi.Mwenyewe assist sitakaa nisahau abadani
Kirahisi mambo magumu hufanyikaAbadani hata mie pia sitasahau kirahisi.
Hufanyika kwa uangalifu wa hali ya juu sanaKirahisi mambo magumu hufanyika
Sana lkn kwa serikali yetu nitofauti kidogoHufanyika kwa uangalifu wa hali ya juu sana
Kidogo nakuelewa mzado unachokizungumzia kuhusu serikali ya TanzaniaSana lkn kwa serikali yetu nitofauti kidogo