Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Dawa yao ukifika waambie unakwenda Zenji je meli inaondoka saa ngapi hapo? Hawakufuati tena
 
Joseverest ni mwingine bado mimi sijalala. Unajua sheria za huu mchezo mkuu?
Mimi hata najua, nilikuwa napost kwenye uzi mwingine sasa nashangaa huku sijui nimekujaje? Au wachawi wamenileta huku?
 
Back
Top Bottom