Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,086
- 122,430
Kando ya barabara kuna mitaro ambayo naiheshimu baada ya kutumbukia siku mojaKujivunia inakubidi hasa ukiwa mwafrika mzalendo,
Na mwenye mengi mapendo,
Mabaya yakemee yasije nuka uvundo,
Afrika ndo mama wengine tuweke kando.