Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,095
- 122,446
Makosa makubwa kuungwa magroup ya whatsapp pasi kujua malengo yake.Sahihi ni umakini utakao kuepusha kufanya makosa
Makosa makubwa kuungwa magroup ya whatsapp pasi kujua malengo yake.Sahihi ni umakini utakao kuepusha kufanya makosa
Yake majukumu yamepungua sasa hivi karudi tena.Makosa makubwa kuungwa magroup ya whatsapp pasi kujua malengo yake.
Humu ndani tuko salama. Nilikuona kwenye uzi moja wa Nionzima nikaogopa hata kukupa hi. Karibu tena.Yake majukumu yamepungua sasa hivi karudi tena.
Mu wazima humu ndani
Nyumbani ni kuzuri asee, nilipahamu sana. Nashukuru kuwakuta bado mpo mkiiendeleza hii ligi.Mjini ndio niliko. Isitoshe na uwanjani pia huwa naenda. Karibu sana jisikie uko nyumbani.
Ligi bado ipo ila kuna mvurugaji mmoja huyo huwa akiingia kazi yake kutoa maneno machafu. Ila dawa yake tumeshaipata huwa tunamuangalia tu na kuachana nayeNyumbani ni kuzuri asee, nilipahamu sana. Nashukuru kuwakuta bado mpo mkiiendeleza hii ligi.
Naye atakuwa hana tofauti na nzi. Ila ndivyo tulivyo binadamu, wengine wamejiumba kuwa washenzi.Ligi bado ipo ila kuna mvurugaji mmoja huyo huwa akiingia kazi yake kutoa maneno machafu. Ila dawa yake tumeshaipata huwa tunamuangalia tu na kuachana naye
Bovu gurudumu litaisumbua sana nchi yetu. Gari inavuta mtaroni, tatizo linajulikana, lakini dereva analaumu abiria wake.Hakika Dunia Tambara Bovu.
Sent From Nokia 3310
Wake ule ujinga, hautamuacha salama.Bovu gurudumu litaisumbua sana nchi yetu. Gari inavuta mtaroni, tatizo linajulikana, lakini dereva analaumu abiria wake.
Maji gani hayo au yale ya chumviKutosha kujaza lita 5000 inahitajika unit ngapi za umeme kwa ajili ya pump ili ivute maji
Chumvi ni baseMaji gani hayo au yale ya chumvi
Base hili neno lina maana gani kwenye lugha ya kiswahiliChumvi ni base
Kiswahili kina wazungumzaji wengi saana.Base hili neno lina maana gani kwenye lugha ya kiswahili
Wengi sana tumeroka huu uziKiswahili kina wazungumzaji wengi saana.
Uzi huu mimi ndiyo mshindi wote mkalaleWengi sana tumeroka huu uzi
Go thereMkalale We Na Mkeo Sisi Hapa Hatugoki Go'