Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Moderators please angalieni kinachoendelea na huyo member Mdonkela ana abuse members katika hii thread. Amekiuka maudhui ya kuchangia kisha anatukana watu please do the needful.


TENA NA WEWE NAKUWEKA KWENYE LIST YANGU UNAJUTIA KIHEREHERE CHAKO ICHO. LIKO WAPI TUSI NILILOMUANZA MTU. SIWEZI PIGWA BUNN SIJAFANYA CHOCHOTE KIBAYA NIMETAWALA TU NGOME YANGU
 
MODs MKINIPIGA BUNN SITAWAELEWA KABISA. NIMEKUWA MSTAARABU WAO NDIO WAMENIANZA NIKAONA NIWAKOMESHE NA MIMI ILA SIO KWA MATUSI BALI KWA DHARAU WANAZONILETEA NA MI NAWAPA MIDHARAU KIBAO. MKINIPA BUNN SIWAELEWI OHOOOOO. SJAKIUKA SHERIA YENU YEYOTE HAPA
 
NIMEPOST VITU VYENYE MAUDHUI KABISAAAAA. SIJAVINJA SHERIA, NA NINATUMIA VIZURI UHURU WA KUJIELEZA CHOCHOTE KAMA MEMBER MWINGINE YEYOTE OLE WENU MNIPE BUNN
 
NAONDKA KWA MUDA NISIKUTE MTU ANAZUBAA HAPA. NTAMZABA KOFI AMBALO HAJAWAHI PATA.
 
Hapakufai kwa watu wa namna hiyo, tuwapuuze na tusijibizane nao chochote sisi tuendelee kama kawaida hata kama apost post nyingi kiasi gani.

Sisi tuqoute post zetu tu.
Akichoka ataondoka mwenyewe
emmyta,James comey, Halloperidon,thatsit,dingimtoto
Naomba tufate ushauri wa Mwifwa maisha yaendele dont be intimidated na indelicate habit aliyoonyesha huyo Member.
 
Back
Top Bottom