Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Yaaaaaani leo hakuna mtu kukanyaga hapa mi ndo mtemi. hahahahahahhhhh baba lao kiduuuuume nimetoka kuumwa lakini hamniwezi katu.
 
Hapakufai kwa watu wa namna hiyo, tuwapuuze na tusijibizane nao chochote sisi tuendelee kama kawaida hata kama apost post nyingi kiasi gani.

Sisi tuqoute post zetu tu.
Akichoka ataondoka mwenyewe

HHAHHAHHHHHHHHHHHH MPENDA FUJO NIMETIA TIMU NGOJA MUONE NTAKAVYOWANYEA WANAWAKE NYIE
 
Hapakufai kwa watu wa namna hiyo, tuwapuuze na tusijibizane nao chochote sisi tuendelee kama kawaida hata kama apost post nyingi kiasi gani.

Sisi tuqoute post zetu tu.
Akichoka ataondoka mwenyewe


MTU MZIMA KUTWA NZIMA UNAPOTEZA MUDAA KUCHEZA UROTO HUU? LAZIMA NIWASAMBARATISHE MIMI SI NDO KICHWA KIBOVU.
 
HAKUNA MTU KUZIDI HAYA MAANDISHI HUKU CHINI YANGU. NIMESEMA SIRUDII KASORO emmyta
 
Back
Top Bottom