Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Awali ya yote napenda kuwatangazia kuwa, kuanzia sasa mimi ni mwenyekiti wa huu mchezo ambaye pia nitatangazwa mshindi hivi karibuni
Karibuni wote mimi ndio mwenyekiti msaidizi kwa lolote karibuni sana.
 
Mashindano yanatakiwa kuwe na wa kuchukua point tokea mwanzo wa mchezo. Mkuu James Comey mimi ajira ninayo Alhamdulillah tatizo ni kwa nyie vijana wetu
Vijana wetu pia ajira wanazo mbona.
 
Back
Top Bottom