Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Eden hazard yule wa chelsea ama. Mbona madrid hakuna mess au sijaelewa. dem boy kubali tu juve anachukua ndoo
Ndoo atachukua madrid Mungu akipenda Messi nimekosea kumueka hapa si nafasi yake hii ni nfasi ya Christian Ronaldo hawa watu wawili wanaenda sambamba nashindwa kukubali kumpenda mmoja lakini nampenda Ronaldo kushinda Messi
 
Ndoo atachukua madrid Mungu akipenda Messi nimekosea kumueka hapa si nafasi yake hii ni nfasi ya Christian Ronaldo hawa watu wawili wanaenda sambamba nashindwa kukubali kumpenda mmoja lakini nampenda Ronaldo kushinda Messi
Mess ndio namkubali zaidi. Ujiandae kwa kweli mana Juventus sio timu ya mchezo mchezo.
 
Mess ndio namkubali zaidi. Ujiandae kwa kweli mana Juventus sio timu ya mchezo mchezo.
Mchezo wa wa mwisho ndio mshindi umegeuka kuwa mchezo wa mpira.

Habari zenu wote humu ndani, ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya
 
Back
Top Bottom