Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Asubuhi ya leo wakati Bashite alikuwa hewani kupitia TV ya koromije!

amelianzisha bifu na Gwajima, kasema yeye sio Akofu, na amekataa kuelezea historia ya elimu yake, kadokeza vyombo vya habari vinawanyima wana dar haki ya habari
 
amelianzisha bifu na Gwajima, kasema yeye sio Akofu, na amekataa kuelezea historia ya elimu yake, kadokeza vyombo vya habari vinawanyima wana dar haki ya habari
Habari atazipata tu na atauza sura hadi kwa bei chee endapo akikiri makosa yake yote anayotuhumiwa,
Mpambanaji ebu tucheze ngoma kwa pamoja kwa kufuata kanuni za uzi huu
 
Habari atazipata tu na atauza sura hadi kwa bei chee endapo akikiri makosa yake yote anayotuhumiwa,
Mpambanaji ebu tucheze ngoma kwa pamoja kwa kufuata kanuni za uzi huu
Uzi huu unataka uanze na jinsi alivyomalizia mwenzio na usisahau kulike na wewe upate like
 
Back
Top Bottom