T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,087
Mafanikio hayawezi kuja bila kijitumaIlivyo kawaida yetu hapa ni kushindana bila mafanikio
Mafanikio hayawezi kuja bila kijitumaIlivyo kawaida yetu hapa ni kushindana bila mafanikio
Tamaa imetanda sana miongoni mwa viongozi awamu hiiMafanikio yapo mbele usikate tamaa
Tamaa mbele mauti nyumaMafanikio yapo mbele usikate tamaa
Kindagateni Ni wewe usiyejitambua uliyekuja bila kuitwa na kuleta povu lako la Omo.Hakika maisha yanakuchanganya sana hayo mambo ya maana jadili wewe na familia yako.achana na sisi.Nyie mmekosa kazi sasa hpo wamwisho anapata nini, badala ya kujadili mambo ya muhimu mnaanzisha michezo yakitoto . Hiyo michezo ya kitoto fanyieni fb afu admin unaangalia tu daaah jf imevamiwa na kindagateni
Kindagateni Ni wewe usiyejitambua uliyekuja bila kuitwa na kuleta povu lako la Omo.Hakika maisha yanakuchanganya sana hayo mambo ya maana jadili wewe na familia yako.achana na sisi.
Wapo wenye busara zaidi yako wamenyamaza na wanafuatilia mambo wanayoona yana manufaa kwao, jambo kama unaona halikusaidii chochote unalihangaikia la nini?Nyie mmekosa kazi sasa hpo wamwisho anapata nini, badala ya kujadili mambo ya muhimu mnaanzisha michezo yakitoto . Hiyo michezo ya kitoto fanyieni fb afu admin unaangalia tu daaah jf imevamiwa na kindagateni
Mguuni kwake amefungwa hadi anashindwa kufikiria, huenda katumwa na wale wale wanaokula rambi rambisisi tunajitambua huyu mgeni bado anakamba mguuni
Rambi rambi zinaliwa na wanaokula ni wenye vitambiMguuni kwake amefungwa hadi anashindwa kufikiria, huenda katumwa na wale wale wanaokula rambi rambi
Kimambi the father alikuwa anajua kiNorwegian, Mange hutumika ktk kushkuru huko Norway.Rambi rambi zinaliwa na wanaokula ni wenye vitambi
Mpaka wafiwa wanachukiwa kama post za mkuu kimambi
Kimambi the father alikuwa anajua kiNorwegian, Mange hutumika ktk kushkuru huko Norway.
Moja kwa moja sisimami hadi nyumbani.norway napapenda niliwai kufika huko mara moja
Moja kwa moja sisimami hadi nyumbani.
Kichakani ni nyumbani kwa ndegenyumbani ni nyumbani ata kama kichakani
Pandandege za bombadia sijawai panda
ni mnyama mzuriMzuri huu mchezo sijawahi kuonaPandani mnyama mzuri
Kusikia kwenyewe saa nyingine nako kuna faida na hasarakuona ni vizuri kulipo kusikia