Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,492
Marekani lini,nnahamu ya kwenda huko
Huko hakuna kitu, vyote vipo Bongo.
Marekani lini,nnahamu ya kwenda huko
Bongo movie skuizi zimestaarabikaHuko hakuna kitu, vyote vipo Bongo.
Zimestaarabika kwa sababu wameanza kuona mapungufu yaoBongo movie skuizi zimestaarabika
Yao ni yao yetu ni yetu,wasitushuulishe sieZimestaarabika kwa sababu wameanza kuona mapungufu yao
Sie wazee wa miamala wala hatusumbiki kugegeda watoto wazuri.Yao ni yao yetu ni yetu,wasitushuulishe sie
Wazuri hawapo siku hizi waliobaki wote tia maji tia majiSie wazee wa miamala wala hatusumbiki kugegeda watoto wazuri.
Maji ukiyavulia nguo sharti uyaogeeWazuri hawapo siku hizi waliobaki wote tia maji tia maji
uyaoge kweli maana yakimwagika hayazolekiMaji ukiyavulia nguo sharti uyaogee
Uyaogee yakutakatishe,haya wakuu kesho jamani mungu akipenda ,naenda kulalaMaji ukiyavulia nguo sharti uyaogee
Uyaoge kweli bila kufikiria mara mbili mbili sababu unaweza kughairi.Maji ukiyavulia nguo sharti uyaogee
Hii liobite!!Kughairi uhakiki wa vyeti feki kwenye wizara ya ulinzi na usalama kutadumisha usalama Wa Nchi hii.
Hujambo MwifwaHii liobite!!
Haujambo?
Mwifwa yuko salama saliminiHujambo Mwifwa
Salmini yuko wapi sku hizi amepotea kwenye siasaMwifwa yuko salama salimini
Siasa si baba yake wala mama yake, ni bora tu akae kimyaSalmini yuko wapi sku hizi amepotea kwenye siasa
Siasi za siku hizi ni siasa za uongo sana hasa kikifika kipindi cha uchaguzi.Salmini yuko wapi sku hizi amepotea kwenye siasa
Uchaguzi wa wabunge wa EALA kutoka CDM umefanyika leoSiasi za siku hizi ni siasa za uongo sana hasa kikifika kipindi cha uchaguzi.
Uchaguzi wa wabunge wa EALA kutoka CDM umefanyika leo
Mapepo nahisi yanawakabili sana viongozi lakini hawajijui kama wana mapepo na hawajui mamna gani wanaweza kukabiliana nayoLeo umefanyika uchaguzi, na jana pia ulikuwepo.
Nchi hii kwa uchaguzi, kama imepandwa mapepo.