Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
kazidiwa...pole sana mkuuKulala usiku huu mie nipo hospital emergency tunamsubiri dokta yupo mgonjwa kazidiwa...
kazidiwa...pole sana mkuuKulala usiku huu mie nipo hospital emergency tunamsubiri dokta yupo mgonjwa kazidiwa...
Mkuu muda wote ule ndiyo kwanza dokta kaingia..kazidiwa...pole sana mkuu
kaingia..habari njema hii kwa mgonjwa wako..pole mgonjwa wako atapona kwa neema za MunguMkuu muda wote ule ndiyo kwanza dokta kaingia..
Neema za Mungu, zipo kila sehemu.kaingia..habari njema hii kwa mgonjwa wako..pole mgonjwa wako atapona kwa neema za Mungu
Imani zenu wote wapendwa zimenifurahishaNeema za Mungu, zipo kila sehemu.
Lakini kuzifaidi, kunahitaji akili na imani.


asanteni kwa kunipa pole,alafu ww ZZ sipendi ujue 
Ujue kwa hakika mapenzi hayalazimishwiImani zenu wote wapendwa zimenifurahishaasanteni kwa kunipa pole,alafu ww ZZ sipendi ujue
![]()
Hayalazimishwi na hata yakilazimishwa basi hayatodumuUjue kwa hakika mapenzi hayalazimishwi
Hayatodumu kwanini, wakati watu wabadilika.Hayalazimishwi na hata yakilazimishwa basi hayatodumu
Kumtambulisha kwa kaka noma, bora kuanzia kwa wazaziHayatodumu kwanini, wakati watu wabadilika.
Mapenzi sio kwinini, dawa isiyo vumilika.
Ukinunuliwa macheni, unaweza kubadilika.
Ukampeleka ukweni, kumtambulisha kwa kaka.
Mtu haishi ndani ya pango kwani yeye kenge?wazi ni huru na patakuwa pango la kila mtu
Kenge wenyewe wa mjini waoga kama kunguruMtu haishi ndani ya pango kwani yeye kenge?
Kunguru wa Zanzibar mbona nasikia wakorofiKenge wenyewe wa mjini waoga kama kunguru
wakorogi sana wale watoto sijui ni wa iraqKunguru wa Zanzibar mbona nasikia wakorofi
Wakorofi ni wale watoto wasiyo sikia la mkuu huko mbele watavunja guu !!Kunguru wa Zanzibar mbona nasikia wakorofi
Iraq ni moja ya nchi tajiri na wananchi wake ni wakakamavu ila hapakaliki!!wakorogi sana wale watoto sijui ni wa iraq
hapakaliki tena pale upangajini kutwa ugomvi na mama mwenye nyumbaIraq ni moja ya nchi tajiri na wananchi wake ni wakakamavu ila hapakaliki!!
Nyumba za serikali aliziuza bwana fulani wakati akiwa Wazirihapakaliki tena pale upangajini kutwa ugomvi na mama mwenye nyumba
Akiwa Waziri jamaa aliruvuga sanaNyumba za serikali aliziuza bwana fulani wakati akiwa Waziri
sana sana bora hata sahiviAkiwa Waziri jamaa aliruvuga sana