chaongezeka kivipi kwa usawa huuWaridhike kuona kipato cha taifa chaongezeka ....
chaongezeka kivipi kwa usawa huuWaridhike kuona kipato cha taifa chaongezeka ....
Chaongezeka ni msamiati gani wa kiswahili fasaha bila shaka ww unaishi Mombasa ama Pemba ama unaishi Tanga.Waridhike kuona kipato cha taifa chaongezeka ....
Tanga kunani ... mbn kila kitu kimekufaaChaongezeka ni msamiati gani wa kiswahili fasaha bila shaka ww unaishi Mombasa ama Pemba ama unaishi Tanga.
Tanga raha kwa mahaba..Chaongezeka ni msamiati gani wa kiswahili fasaha bila shaka ww unaishi Mombasa ama Pemba ama unaishi Tanga.
Kimekufaa kwa sbb kimehusu Uswahili...Tanga kunani ... mbn kila kitu kimekufaa
Uswahili una tofauti gani na uzungu mpaka Tanzania hatutengenezi ndegeKimekufaa kwa sbb kimehusu Uswahili...
Uswahili una tofauti gani na uzungu mpaka Tanzania hatutengenezi ndege
Siasa ili uikabili vilivyo lazima uwe mnafiki.Ndege kuitengeneza, Lazima usome sayansi.
Sayansi uki-bashite, utakimbilia siasa.
Mnafiki kama Bashite...!! Au Mrisho mpotooSiasa ili uikabili vilivyo lazima uwe mnafiki.
hapo "No Comment" tafadhali tusijumuishe watu kwa majina yao binafsi....!!!Mnafiki kama Bashite...!! Au Mrisho mpotoo
Binafsi leo nimepokea taarifa za msiba za Mzee wetu ndani ya Jiji la Dar-es-salaam Al- alama Sheikh Issa Hausi Kirumbi amefariki leo. Bro Mgogoone nimekuona kwa mbali samahani nilichelewa kuingia humu jamvini.hapo "No Comment" tafadhali tusijumuishe watu kwa majina yao binafsi....!!!
Jamvini hapa tunakupeni pole!Binafsi leo nimepokea taarifa za msiba za Mzee wetu ndani ya Jiji la Dar-es-salaam Al- alama Sheikh Issa Hausi Kirumbi amefariki leo. Bro Mgogoone nimekuona kwa mbali samahani nilichelewa kuingia humu jamvini.
Jamvini tupo pamoja ktk msiba wetu huu..,Poleni kwa sote.Binafsi leo nimepokea taarifa za msiba za Mzee wetu ndani ya Jiji la Dar-es-salaam Al- alama Sheikh Issa Hausi Kirumbi amefariki leo. Bro Mgogoone nimekuona kwa mbali samahani nilichelewa kuingia humu jamvini.
Simanzi ni ile hali unayoipata unapopewa taarifa ya gafla mzazi amefariki dunia bila kupata taarifa ya ugonjwaJamvini tupo pamoja ktk msiba wetu huu..,Poleni kwa sote.
"inna Lillah wa inna ilayhi Rajiou" sote huko mdiyo njia yetu tutapita.. Mola amlaze pema na atupe uvumilivu kuhili simanzi....
Ugonjwa wasukari na presha havina tibaSimanzi ni ile hali unayoipata unapopewa taarifa ya gafla mzazi amefariki dunia bila kupata taarifa ya ugonjwa
Kariakoo kuna pesa nyingi sana.Ugonjwa wasukari na presha havina tiba
Ahsanteni kwa pole zenu, marehemu alikuwa swahibu wa Baba yangu na maarufu sana maeneo ya kariakoo
Sana sana zamani, siyo siku hiziKariakoo kuna pesa nyingi sana.
Sana sana zamani, siyo siku hizi
Pesa ipo bank ukitaka nenda kachukueSiku hizi Kariakoo mmejazana, mnaziba mifumo ya pesa.
Pesa ipo bank ukitaka nenda kachukue