Tanzania ni nchi ya viwandaMpakani mwa Kenya na Tz
Tanzania ni nchi ya viwandaMpakani mwa Kenya na Tz
Tz bongo asilimia 70 viongozi wana cv za uongo.Mpakani mwa Kenya na Tz
Tz inadai kuwa kenya inaipiku kuitangaza !!Mpakani mwa Kenya na Tz
Kuitangaza Tanzania kama Taifa la Nne kwa lundo la madini Afrika huku wananchi wake wakiwa masikini wa kutupwa ni jambo la kushangaa.Tz inadai kuwa kenya inaipiku kuitangaza !!
Jamii nzima inatakiwa kufahamu kuwa Daby ni mzee wa makamo nina wajukuuThatsit ni member mtiifu wa Forum's Jamii.
Wajukuu gani mister ...? Wakati Taarifa zisizo rasimi zinadai Wewe umefaata nyayo za Side Mnyamwezi.Jamii nzima inatakiwa kufahamu kuwa Daby ni mzee wa makamo nina wajukuu
Mnyamwezi keyon anawaongopea asiwadanganyeWajukuu gani mister ...? Wakati Taarifa zisizo rasimi zinadai Wewe umefaata nyayo za Side Mnyamwezi.
Asiwadanganye kamwe huyu Daby nyinyi akina mina,Aisha na mwanaidi.....lakini mabinti watashindwa kukataa kwa sababu wanapenda utamu wa maneno.Mnyamwezi keyon anawaongopea asiwadanganye
Maneno huundwa na silabi hizi silabi huundwa na sauti ambazo ni Irabu na konsonanti. Irabu na konsonanti ni nasibu tu. Kama nimekosea wataalamu wa lugha mnisahihisheAsiwadanganye kamwe huyu Daby nyinyi akina mina,Aisha na mwanaidi.....lakini mabinti watashindwa kukataa kwa sababu wanapenda utamu wa maneno.
Mnisahihishe hata mimi pale nitakapokuwa nateleza katika matumizi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili.Maneno huundwa na silabi hizi silabi huundwa na sauti ambazo ni Irabu na konsonanti. Irabu na konsonanti ni nasibu tu. Kama nimekosea wataalamu wa lugha mnisahihishe
Kiswahili kina misamiati michache mfano nani aniambieMnisahihishe hata mimi pale nitakapokuwa nateleza katika matumizi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Super sport ni kituo bora kabisa cha kurusha matangazo ya kandanda,Kiswahili kina misamiati michache mfano nani aniambie
Tafsiri ya maneno yafuatayo
1. Lunch
2. Dinner
3. Super
Vitabu vimeshapitwa na wakati waweke makabrasha katika mitandao tuipakue tusome.Super sport ni kituo bora kabisa cha kurusha matangazo ya kandanda,
Hapo wajuvi wa lugha wanaweza kutusaidia, wao wanadai misamiati ipo tu sana...tatizo hatupendi kutumia na kusoma vitabu.
Tusome wangapi....? Mr. Hili halina Mjadala Waafrika (ngozi nyeusi) hatuna utamaduni wa kusoma vitabu, hehehe au ni laana .Vitabu vimeshapitwa na wakati waweke makabrasha katika mitandao tuipakue tusome.
Laana ni kulala na mwanamke ndugu yako na kula uroda naye.Tusome wangapi....? Mr. Hili halina Mjadala Waafrika (ngozi nyeusi) hatuna utamaduni wa kusoma vitabu, hehehe au ni laana .
Naye akikupa ushirikiano wa kutosha katika kupata raha ya milele,hiyo laana ya ndugu haina Nguvu mbona Israel kala oroda na Leah na Rachael...laana ni kuutazama utupu wa mzazi.Laana ni kulala na mwanamke ndugu yako na kula uroda naye.
Mzazi laana ni laana kajaribu kumla dada yako uoneNaye akikupa ushirikiano wa kutosha katika kupata raha ya milele,hiyo laana ya ndugu haina Nguvu mbona Israel kala oroda na Leah na Rachael...laana ni kuutazama utupu wa mzazi.
Uone ya kuwa mke wa mtu sumuMzazi laana ni laana kajaribu kumla dada yako uone