Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,019
Kakuwahi mtu anaeitwa mdomo bakuliNdio umezembea kuniqoute Linamo kakuwahi
Kakuwahi mtu anaeitwa mdomo bakuliNdio umezembea kuniqoute Linamo kakuwahi
Kakuwahi nn?? Mm nipo watakuja watatuachaNdio umezembea kuniqoute Linamo kakuwahi
Watatuacha tena hapa hapa kwenye uzi wetuKakuwahi nn?? Mm nipo watakuja watatuacha
Mdomo Bakuli sikutegemea kama uta ni qouteKakuwahi mtu anaeitwa mdomo bakuli
Wetu mm na ww tushaurithi mana alouanzisha inaonekana kafarikiWatatuacha tena hapa hapa kwenye uzi wetu
Kafariki siku nyingi alifwariki kwa ajali ya kiss alilopigwa na mdada wa kinaijeria mpaka akafwa .Wetu mm na ww tushaurithi mana alouanzisha inaonekana kafariki
Akafa kwa mapenz ya kizembe angevaa helmet wakat anapigwa kiss asingekufaKafariki siku nyingi alifwariki kwa ajali ya kiss alilopigwa na mdada wa kinaijeria mpaka akafwa .
Asingekufa kama waliokuwa karibu wangemuwahisha zahati. Tatizo lingine kuna stori chini ya kapeti eti.Akafa kwa mapenz ya kizembe angevaa helmet wakat anapigwa kiss asingekufa
Eti naskia alikuwa hajui kukissAsingekufa kama waliokuwa karibu wangemuwahisha zahati. Tatizo lingine kuna stori chini ya kapeti eti.
Kukiss kwataka ufundi si kula mdomo woteEti naskia alikuwa hajui kukiss
Wote wamependeza isipokuwa yeyeKukiss kwataka ufundi si kula mdomo wote
Vyao ni vyao na vyetu ni vya umma.... !!Wakuu wa Mikoa wote kuna haja kufanyiwa veting pamoja na kukagua vyeti vyao
Umma mkubwa wa dunia uko brainwashedVyao ni vyao na vyetu ni vya umma.... !!
God bless us kwa kilicho na heri kwa vizazi vipya...Paused only what make us to be in paradize but for the hell all are still going on! GOD BLESS US
Vipya vizazi kama sisi hatumo watakaokuwemo tuwaombee barakaGod bless us kwa kilicho na heri kwa vizazi vipya...
Matabaka hayataisha madamu sisi tupo hai...Vipya vizazi kama sisi hatumo watakaokuwemo tuwaombee baraka
Maana mfumo umefumwa ili kuwafuma mfumoni kwa matabaka