Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Banah mie kwahulka zangu ni mpole ila hucharuka ghafla....!!
Ghafla imagine umelala kwenye nyumba yako na ni usiku na upo peke yako na nje kuna mvua inanyesha ghafla ukasikia hodi kufungua mtoto wa kike, ukapata mgeni, na huyo mgeni mwenyewe ni wa kike na akawa anaomba hifadhi kwako kwa kuwa amepata matatizo na amekimbilia kwako na khanga moja tu na imelowana sana, je nikikupa peni kumalizia hii story utaimalizaje bila kuharibu utamu
 
Makubwa madogo yana nafuuu...Roma siku ya pili sasa haonekani...
 
Ghafla imagine umelala kwenye nyumba yako na ni usiku na upo peke yako na nje kuna mvua inanyesha ghafla ukasikia hodi kufungua mtoto wa kike, ukapata mgeni, na huyo mgeni mwenyewe ni wa kike na akawa anaomba hifadhi kwako kwa kuwa amepata matatizo na amekimbilia kwako na khanga moja tu na imelowana sana, je nikikupa peni kumalizia hii story utaimalizaje bila kuharibu utamu
utamu upi unaouongelea hapa
 
Hapa utamu uleee only great thinker wataweza kufafanua muendelezo, lizy jamaniiii unaniangushaaaaaaa yani kusikia husikii hata kuona jamani
Jamani naomba kama wewe ni mzuri uje pm . Tupange namna ya kuendeleza hicho kilimo chako lizy maneno haya yalisemwa na toxic9
 
Back
Top Bottom