Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,706
- 51,055
Kabambe sana chief, sisi ndiyo part of changesPamoja tuwe taifa kabambe!!
Kabambe sana chief, sisi ndiyo part of changesPamoja tuwe taifa kabambe!!
Kikabila hapanaYou all ; Toxic,Aishah, ukhuty alibakari are wabaguzi kwa sbb mnajitaja kikabila..!!
Vile ulivyomaliza ukakimbia'Kabambe' ni msemo waliutumia kwenye promotion gani vile.......
Nyie banah ndiyo wakolofi lizy na wewe zzVile vile kabila langu litawahusu nyie!!
Mkuu acha kuoteaKikabila kipi mkuu hahahahahahahaha, mimi mtu wa kaskazini, sakyo mtanga, alibakari huyu atakua mruguru huyu, Aishah huyu mzanzibar huyu, unaona mkuu makabila mbalimbali, wewe zamiluni zamiluni ni mkenya you see, karibu mkuu
nyie toxic9 et al. mjumuisheni Zamiluni kwenye mijadala yenu, msimbagueVile vile kabila langu litawahusu nyie!!
Kuotea tena, ngoja alibakari na aisha waje wasemeMkuu acha kuotea
Nyie kina naniVile vile kabila langu litawahusu nyie!!
ZZ pekee ndio mkorofiNyie banah ndiyo wakolofi lizy na wewe zz
Mkorofi lizy nimekupa huduma umekimbia bila ahsanteZZ pekee ndio mkorofi
Waseme nini, wanaogopaKuotea tena, ngoja alibakari na aisha waje waseme
Msimbague mtu humu jamani,nyie toxic9 et al. mjumuisheni Zamiluni kwenye mijadala yenu, msimbague
Kina nani waliyopandikiza chuki...Nyie kina nani
jamani mbona nilitoa asante au umesahau? Manake na wewe mgumu kukumbuka halafu mwepesi kusahauMsimbague mtu humu jamani,
Chuki sio jambo la heri, msichukiane banahKina nani waliyopandikiza chuki...
Banah mie kwahulka zangu ni mpole ila hucharuka ghafla....!!Chuki sio jambo la heri, msichukiane banah
Kusahau kwangu ni ngumu sana, nakumbuka ukifurahi ila hukusema ahsante , nakusubiria next time nikupe huduma nzuri zaidi kuliko hii, nitaboresha vingi karibu tenajamani mbona nilitoa asante au umesahau? Manake na wewe mgumu kukumbuka halafu mwepesi kusahau
Chuki sio nzuri, hebu tuwe na upendo wa agapeKina nani waliyopandikiza chuki...
Ghafla mvua ikaanza kunyeshaBanah mie kwahulka zangu ni mpole ila hucharuka ghafla....!!
Kunyesha huko kulisababisha mafuriko makubwaGhafla mvua ikaanza kunyesha