Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Kule badoo wapo wengi wa kuwahongaTumhonge nani mkuu, awamu hii hakuna pakuhonga, labda ujihonge mwenyewe

Kule badoo wapo wengi wa kuwahongaTumhonge nani mkuu, awamu hii hakuna pakuhonga, labda ujihonge mwenyewe

Tayari nimerudiKiza kinaashiria ucku tayari
Nimerudi nyumbani kulima....Tayari nimerudi
Kiza kinene kimetanda wananchi hatujuwi tunaelekea wapi, miongozo tafadhali wale wanaojua where heading , hali ya uchumi individually , siasa uhuru wa kunadi sera nk haviko stable leo hii vile vitu/bidhaa necessity kwa matumizi ya kila siku kwa mwananchi wa kipato cha chini eg unga, sukari, maharage nk bei ni za juu jahazi is about to sink.... Helpppp helpEnzi zote huwepo mapungufu na huwepo ukamilifu hata siku moja huwepo mwangaza na kiza!!
Kuwahonga wapo???Kule badoo wapo wengi wa kuwahonga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mhmhhh kweli wapo? Kitakwimu tangu new government take over idadi ya kuhonga na kupokea hongo imeshuka by 70%Kulima siku hizi ni kama adhabu, tukilalamika hali ni mbaya utasikia kalimeni,sasa mvua hakuna, pembejeo hazifiki kwa wakati, ardhi asilimia kubwa wamepewa wawekezaji, hakuna subsides kwa wakulima wadogo wadogo, mikopo interest rate is high halafu kilimo ni cha kutegemea mvua, igweeeeeNimerudi nyumbani kulima....
Nimerudi nyumbani kulima....Tayari nimerudi
Kulima ndiyo shughuli ya pekee wanayoitegemea watanzania wengi kwa kipatoNimerudi nyumbani kulima....
Kuteremsha turubali baada ya safari ni ndefu ni kujiogesha kwa vumbi...!!Kipato changu ni cha chini sana, ngoja nifanye kazi, nyie endeleeni na kutelemsha
kutelemsha nini tenaKipato changu ni cha chini sana, ngoja nifanye kazi, nyie endeleeni na kutelemsha
vumbi linatoka wapi na masika hayaKuteremsha turubali baada ya safari ni ndefu ni kujiogesha kwa vumbi...!!
Haya kama kuna vumbi vaa mawanivumbi linatoka wapi na masika haya
Vizuri vyajiuza vibaya vyajitembezamawani ukivaa huoni sketi vizuri...!!
Vyajitembeza kwa sababu havina sokoVizuri vyajiuza vibaya vyajitembeza
Soko ni mahali unapopata bidhaa zote kinagaubagaVyajitembeza kwa sababu havina soko
Kinagaubaga isije kuwa kuna mgogoro?Soko ni mahali unapopata bidhaa zote kinagaubaga
Mgogoro au ugoro?Kinagaubaga isije kuwa kuna mgogoro?