Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,870
Haka ka sridi sikapendi mimiii aaah toka 2014!
2014 klabu gani ilichukua ubingwa wa sokaHaka ka sridi sikapendi mimiii aaah toka 2014!
Huu uzi kabla hujamjibu mtu post na ni mara yako ya kwanza kuijiunga humu soma mashartiyanga ndo mana imeshindwa kuchukua ubingwa mwaka huu
Masharti yazingatiwe ili tafsida wa majibu yaweze kustawii.....Huu uzi kabla hujamjibu mtu post na ni mara yako ya kwanza kuijiunga humu soma masharti
Viwanda vipi wakati vinajengwa Pwani vyoteMadini nchini yanazidi kupungua, tuhamie kwenye uchumi wa viwanda
Hapa co sehem ya malumbano,,,tumemaliza kuwavua gamba akina Sophia simba na sasa tunaelekeza nguv ktk kuwatumikia wananchi,mbaya zaid Nina haraka maana nataka niwah treni ya tazara maana nimewakosakosa sana yanga a.k.a ndala fc au bwawani fc leoVyangu vinakuuma nini
Dada angu Sophia Simba katimuliwa ccmUjue ukhuty ndyo dada
CCM ina uhusiano mzuri na nchi za jirani hapa Africa.....Dada angu Sophia Simba katimuliwa ccm