kichengere coi
Senior Member
- Dec 11, 2016
- 160
- 110
ukubwa dawa
Dawa ya ugonjwa ganiukubwa dawa
gani sio nzr inauaDawa ya ugonjwa gani
Inaua zaidi ya ukimwi ??? Au ndyo umeamua kuipa kiki ??gani sio nzr inaua
Nini? Ina maana hujui mkuu? Kiki inamaanisha harmorapaKiki inamaanisha nin
Harmorapa huyu aliyefananishwa na nyani ??Nini? Ina maana hujui mkuu? Kiki inamaanisha harmorapa
Harmorapa ana single moja tu lakini kila mtu anamtajaNini? Ina maana hujui mkuu? Kiki inamaanisha harmorapa
Nyani sio jina zuri kumpa binadamu mwenzetu, mose alikoseaHarmorapa huyu aliyefananishwa na nyani ??
Alikosea sana kwa kuongea lugha ya chuki aliyojaa ubaguzi na kufanya aonekane kama mtu ambaye bado hajajitambuaNyani sio jina zuri kumpa binadamu mwenzetu, mose alikosea
Hajajitambua kweli mkuu, hakutumia busara kabisa. Ila bila kujua ndo alizidi kumuweka harmorapa kwenye mediaAlikosea sana kwa kuongea lugha ya chuki aliyojaa ubaguzi na kufanya aonekane kama mtu ambaye bado hajajitambua
Kumpoteza kunategemea sana na reaction ya wananchiMedia inaweza kumpaisha mtu kwa sifa ama kumpoteza
Wananchi nao wamekuwa busy kusikiliza skendo ya ungaKumpoteza kunategemea sana na reaction ya wananchi
Unga ni neno la hekima kwa ufasaha ni madawa ya kulevyaWananchi nao wamekuwa busy kusikiliza skendo ya unga
Kutoweka kwako kunanipa wasi wasi mdogo wanguNyani si moja ya viumbe wanyamapori walio hatarini kutoweka
Wangu mambo yako shingoni, but usijali tuko pamoja kama samaki na maji miss you Dada sakayo hope uko salama wa salminiKutoweka kwako kunanipa wasi wasi mdogo wangu