BUSARA ZANGU
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 778
- 1,269
Ben Pol au Ben......
Kimejiri kipi hata mimi nimepata jukwaa la siasa inbidi uende hukoSijahudhuria kwenye kesi ya Lisu mahakama ya Kisutu, kipi kimejiri
Ngoja niende kupata lunch maana tumbo langu linadaiHuko kuna hiyo story... Okay ngoja niende

Kikomo cha marumizi ya muhadarati umewadia...Linadai jukwaa utakuwa mshindi Wa huu Uzi usio na kikomo
Mihadarati na akina delicious rapper mambo ni mubashara mwaka huuUmewadia wakati wa kudeal na maadui zako kwa kisingizio cha mihadarati

Mihadarati na akina delicious rapper mambo ni mubashara mwaka huu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sana tuMwaka huu ni kunyoosha kila lenye upindo au fundo !!!Mihadarati na akina delicious rapper mambo ni mubashara mwaka huu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Gumu kama una meno ya plasticFundo la muwa ni gumu
Janani eeh kiswahili chake ni "sandarusi" Lakini nasikitika wengi humu watashangaa !!!!Plastic kiswahili chake ni nini jamani
Watashangaa kusikia na utumiaji wa pombe(kilevi) ni kosa la jinai.....hapa watafungwa wengiJanani eeh kiswahili chake ni "sandarusi" Lakini nasikitika wengi humu watashangaa !!!!

Za zamani zina thamani "kama wasemavyo wazungu" Old is Gold !!Watashangaa lakini nimeelimika, Asante sana mkuu Zamiluni Za...
Wengi wao watafungwa kwa kusingiziwaWatashangaa kusikia na utumiaji wa pombe(kilevi) ni kosa la jinai.....hapa watafungwa wengi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()