Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kuchekeana hovyo hakitamalza vita tuweke kujuana pembeni

Sent from my TECNO_P5_PLUS using JamiiForums mobile app
Pembeni kwa jirani yangu ni muuza ngada juu ya nyaya ya umeme kumefungwa viatu kuashiria mtaa ule ni maarufu kwa kuuza ngada, na juzi viatu vimetolewa baada ya hii ishu kusikika suala la makonda kusaka wauza ngada, mimi ni muuzaji mdogo tu, ( pusher ) au ( king pusha ) a drug dealer.
Soon nitakuwa kama EL CHAPO niombeeni ndugu zangu nifanikishe hii mihadarati.
 
hatulali kwasababu mim ndiye nayeimiliki jamii forum ivyo lazima niilinde
 
naziuza kivipi sasa uza mwenyewe naona ysawa wa magu umekubana angalia kuwa makini usije kujiuza nawewe
 
Back
Top Bottom