Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Usiku huu kuna mvua ya mawe itanyesha....Maisha yangu pale Tabora Boys dah... Siku ya Jumatano Ugali Maharage mchana na usiku.
Usiku huu kuna mvua ya mawe itanyesha....Maisha yangu pale Tabora Boys dah... Siku ya Jumatano Ugali Maharage mchana na usiku.
Pande zp!ndiyo maeneo ninayojiuliza niendeItanyesha pande zp
Mwanamke mmoja ndio yupo kwenye moyo wangu, na me sio polygamist mkuu, nampenda yeye tumetoka mbali sana kwanini iwe huku kwenye mkia tu ndio niteseke hivi kwanini lakini mweeh yaani hapa natamani ardhi ipasuke nijifiche au nife kabisaa roho inanihuma sana wakuu ninekunywa maji mengi sana moyo haupoi kabisaLakini wewe ni bwege sana. Utaumizwaje na mwanamke mmoja.

Haupoi kabisaMwanamke mmoja ndio yupo kwenye moyo wangu, na me sio polygamist mkuu, nampenda yeye tumetoka mbali sana kwanini iwe huku kwenye mkia tu ndio niteseke hivi kwanini lakini mweeh yaani hapa natamani ardhi ipasuke nijifiche au nife kabisaa roho inanihuma sana wakuu ninekunywa maji mengi sana moyo haupoi kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
njoo nikupe massage mubashara
Mubashara ndo Habari ya mjiniHaupoi kabisa![]()
njoo nikupe massage mubashara
![]()
Mjini bila mubashara kwa sasa.....mmmhh mambo hayataenda mubasharaMubashara ndo Habari ya mjini

Mjini bila mubashara kwa sasa.....mmmhh mambo hayataenda mubasharaMubashara ndo Habari ya mjini

Mubashara ndio nini wakuu?Mjini bila mubashara kwa sasa.....mmmhh mambo hayataenda mubashara![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wakuu naomba mumsaidie maana ya mubashara...... Naona Transcend alikua nje ya mjini kidogoMubashara ndio nini wakuu?
Kidogo tuu mkuu! Nataka nijue maana ya hilo neno..Wakuu naomba mumsaidie maana ya mubashara...... Naona Transcend alikua nje ya mjini kidogo
Neno mubashara nnavyojua Mimi maana yake halisi ni moja kwa moja a.k.a liveKidogo tuu mkuu! Nataka nijue maana ya hilo neno..

mubashara
Mitaani shida tupu kwani ajira hakunaMubashara neno hili limevuma hadi mitaani