Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,691
Balaa lake ka shekhe alielishwa nguruwe
Swalama kabisa, hawajambo huko shemeji na watoto?Nyote humu mmeshindaje hongereni kwa kazi
Wewe muhaya kumbe na wewe huwa ni kapuku?Vichaka vingine kubabake vilikua na siafu, wakikung'ata wakati unapiga bao ni soo
Sasa na wewe nae asipokuquate atakuwa na uhakika gani kama umeona bandiko lake? Mbona unakuwa libishii kama jama la mwamashimba ambalo halijawahi kuona rami.Mkuu mbona unakua mbishi hivo?? Nilisha kwambia huna haja ya ku quote mtu.
yangu majuto kuchangia huu uzi, notifications zitaniua10 bil nikiipata nachana kila document yangu
Mademu naona hawana upenzi wa kamchezo hakaKamchezo kananoga kukiwa hakuna mademu
poa wap mchezo ulipoishia maana nishakuwa kwenye mataa sielewChali wapi wewe mbona unazidi kuharibu flow ya mchezo mzee.... Hujui kusoma last comment nini mzee.