Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kamwe usi give up mpk mshindi apatikane nipo wajomba na mashangazi,pacha t9 naona siku mbili hizi bando halikauki! majanga kidogo yaliniweka bize natumai wote wazima
Wazima sisi pacha, hofu ni kwako
 
Toxic9 anakusubiri hapa umemuita dada leo, mkuu leo umukula nini
Nini tena mkuu toxic9

Si unajua tena ID za humu ni majanga tu mkuu

ID kuijua kuwa hii ni ya mwanamke au mwanaume ni vigumu sana aiseee!!

Yaweza kuwa hata huyu Sakayo ni mwanaume au mwanamke
 
Nini tena mkuu toxic9

Si unajua tena ID za humu ni majanga tu mkuu

ID kuijua kuwa hii ni ya mwanamke au mwanaume ni vigumu sana aiseee!!

Yaweza kuwa hata huyu Sakayo ni mwanaume au mwanamke

Mwanaume au mwanamke achana navyo sio muhimu sana hapa JF, sana sana ni kuchangia na nakupita hivi, kwa hiyo ulijua mimi ni KE na ulitaka urushe kete, endelea kurusha kete mkuu, siku tukikutana ndiyo tutajua.
 
Mwanaume au mwanamke achana navyo sio muhimu sana hapa JF, sana sana ni kuchangia na nakupita hivi, kwa hiyo ulijua mimi ni KE na ulitaka urushe kete, endelea kurusha kete mkuu, siku tukikutana ndiyo tutajua.
Tutajua Ahahaha haya bhana
 
Back
Top Bottom