Wa mwisho ndiyo mshindi

Apendavyo mtu kuishi hakuna wa kumlazimisha vinginevyo, lakini unapokuwa kwenye jamii, unakuwa na staha kidogo, kuna majukwaa unaweza kuwa free kuongea chochote, lakini humu sio
Sio pouwa kabisa, haijakaa poa mkuu kufedheheshwa na ni vyema kupotezea tu, binadamu hatufanani, cha msingi tupendane, tukipendana hatutajali mapungufu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…