Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
makubwa sana haya matundaFursa huwa sichezi nazo mbali,ila huu mwaka 2017 nitafanya mengi makubwa
makubwa sana haya matundaFursa huwa sichezi nazo mbali,ila huu mwaka 2017 nitafanya mengi makubwa
Fursa huwa sichezi nazo mbali,ila huu mwaka 2017 nitafanya mengi makubwa
makubwa sana haya matunda
Mafanikio ni muhimu hasa kwa kile unachokihangaikia ila upate usipate mshukuru mungu
Matunda gani unayapenda, na je unakula matunda kwasababu ni matamu au kwasababu yana virutubishomakubwa sana haya matunda
Sahihi kabisa upo
Nakadhalika au nakuendelea ipi ni sahihi.
Jamani wa kina nani hao
virutubisho vya matunda ni vya muhimu sana mwiliniMatunda gani unayapenda, na je unakula matunda kwasababu ni matamu au kwasababu yana virutubisho
unayajua maisha ya awamu hiiMatunda gani usiyoyafahamu, Mastaferi unayajua?
Hii awamu mwisho wa matatizo, nimeamia kwenye namba za Kirumi sasaunayajua maisha ya awamu hii
Hii awamu mwisho wa matatizo, nimeamia kwenye namba za Kirumi sasa
Sasa saasa ..saa ya kwenda kwetu

Sasa kama christiano Ronaldo anakula maharage Januari hii, sisi jeHii awamu mwisho wa matatizo, nimeamia kwenye namba za Kirumi sasa
Sasa kama christiano Ronaldo anakula maharage Januari hii, sisi je
![]()
Sasa saasa ..saa ya kwenda kwetu
Kwaheri mwalimu ..kwaheri mwalimu
Tutaonana keshooooo
![]()
![]()
Fagio langu limeharibikakesho unatakiwa kuwahi namba huku umebeba kidumu cha maji na fagio
Limeharibika tena, viboko vinakuhusu usisahau tumetumwa na kuni tatu.Fagio langu limeharibika