dem boyz
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 7,340
- 16,909
Mkuu mungu akutangulieKivulini bado But it's a matter of time tu Mkuu
Mkuu mungu akutangulieKivulini bado But it's a matter of time tu Mkuu
Akutangulie na wew Mkuu.. Wote Safari yetu ni kutafuta mafanikioMkuu mungu akutangulie
Mafanikio ni muhimu hasa kwa kile unachokihangaikia ila upate usipate mshukuru munguAkutangulie na wew Mkuu.. Wote Safari yetu ni kutafuta mafanikio
Juani noma sana, ila usipo pitia juani hutakuwa imara sanaKivulini kufika inahitaji kupambana na ukifika kivulini kuna ya kufanya ili ubaki kivulini la sivyo ukibweteka ngoma itarudi motoni na sio juani
Juani noma sana, ila usipo pitia juani hutakuwa imara sanaKivulini kufika inahitaji kupambana na ukifika kivulini kuna ya kufanya ili ubaki kivulini la sivyo ukibweteka ngoma itarudi motoni na sio juani
Mkuu maisha nikupambana usikatishwe tamaa na mtu, watanzania wengi bado tupo juani kivulini wapo wachache sana wakina Mengi, Mo-dewj nk na wanahesabika mkuu, ukifika kivulini stress freeKivulini bado But it's a matter of time tu Mkuu
Mkuu maisha nikupambana usikatishwe tamaa na mtu, watanzania wengi bado tupo juani kivulini wapo wachache sana wakina Mengi, Mo-dewj nk na wanahesabika mkuu, ukifika kivulini stress freeKivulini bado But it's a matter of time tu Mkuu
Akutanngilie na akubariki pia dema boy aka pacha, namge, gbefa, kituko, mamaafacebook, sakayo, Johnsonmgaya, Aishah2016,kajojo, Ukhuty na blacki womaniMkuu mungu akutangulie
Mkuu madea Halloween huyu America comedian unamjua? ni noma sana, huwa ananichekesha sana, naona kwenye store yangu ya movie, new movie ana kitu kinaitwa BOO madea Halloween ni kibokoKivulini bado But it's a matter of time tu Mkuu
Woman being black it's huge blessing,I wish more blessing to all black women lead by blacki womani,sakayo,Aisha, mama fb nkAkutanngilie na akubariki pia dema boy aka pacha, namge, gbefa, kituko, mamaafacebook, sakayo, Johnsonmgaya, Aishah2016, Ukhuty na blacki womani
Nakadhalika au nakuendelea ipi ni sahihi.Woman being black it's huge blessing,I wish more blessing to all black women lead by blacki womani,sakayo,Aisha, mama fb nk
Sahihi nkNakadhalika au nakuendelea ipi ni sahihi.
Nakadhalika wafanyavyo waganga...Sahihi nk
Waganga noma sana, mkuu karibu sana umepotea mkuu, habari za huko utokakoNakadhalika wafanyavyo waganga...
Utokako ni mbali zaidi ya uendako.. mie sijambo nashukuru nilikuja TZ nyumbani...Waganga noma sana, mkuu karibu sana umepotea mkuu, habari za huko utokako
Nyumbani ni nyumbani shehe, karibu ila usiwe mchoyo sanaa, vizuri kula na wenzioUtokako ni mbali zaidi ya uendako.. mie sijambo nashukuru nilikuja TZ nyumbani...
Wenzio wamesha wahi na kunyakuwa fursa...Nyumbani ni nyumbani shehe, karibu ila usiwe mchoyo sanaa, vizuri kula na wenzio
Fursa huwa sichezi nazo mbali,ila huu mwaka 2017 nitafanya mengi makubwaWenzio wamesha wahi na kunyakuwa fursa...