Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Hujamuona huko jamani, msalimie maana nikiwepo ananikwepa nikiondoka anaanza sema animiss
Sema animiss na Mimi pia ndio maana namkimbia...
Kesho Nina test wakuu ndio maana nanyapia nyapia humu mguu ndani mguu nje ila baadae tutakuwa sote wakuu mchana mwema
 
Hajaja yaani, dogo sikuhizi simuelewagi kabisa
Kabisa dogo sijuwi anasoma ila hata mimi nammiss mdogo wangu gbefa maana kanajua kuharibu deal za watu wakubwa, anajua kufitinisha, anajua mengi dogo yani atakua yupo vizuri sana class kama mimi kaka yake enzi za chuo
 
Kabisa dogo sijuwi anasoma ila hata mimi nammiss mdogo wangu gbefa maana kanajua kuharibu deal za watu wakubwa, anajua kufitinisha, anajua mengi dogo yani atakua yupo vizuri sana class kama mimi kaka yake enzi za chuo
Chuo chenu ulikuwa unakimbiza kwa kutoka na mamanzi wakali kama sakayo mvalishwa viatu bisha kaka!
 
Back
Top Bottom