gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Sema animiss na Mimi pia ndio maana namkimbia...Hujamuona huko jamani, msalimie maana nikiwepo ananikwepa nikiondoka anaanza sema animiss
Kesho Nina test wakuu ndio maana nanyapia nyapia humu mguu ndani mguu nje ila baadae tutakuwa sote wakuu mchana mwema


