Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kwanza umesoma leo mdogo wangu achana na mambo ya kikubwa, maana umekuja na kasi ya light kwenye mapenzi, elimu na mapenzi ni maji na mafuta ya taa
Taa ya bwana inaniangaza kusoma ni constant kama pie, ukiniona humu hujue sina test wala assignment tena ya hesabu,
Mkuu kesho mapinduzi hujue shauri yako ndio maana nipo hapa
 
Back
Top Bottom