Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mbeya pale mdogo wangu hakuna kitu nakipenda kama mchele wa mbeya, mchele wa kyela daahhhh, yani mchele ukiweka kwenye maji tu basi wanukia nyumba nzima, hapo bado hujaweka kwenye jiko
Jiko, wewe unaongea nini mashamba ya kyela ya mpunga ukikatiza aki ya mungu utaisi upo jikoni na unaweza kubaki Siku nzima ukisikilizia kaharufu
 
Mkuu
Hujanielewa ndio maana nimesema ni mwendo wa kwacha ( fedha halali kwa malipo ya Zambia ) na tshs: ( fedha halali kwa malipo ya Tanzania ) unaitupa kule au mkuu nimeongea maneno ya mafumbo sana huenda lugha zetu za mitaani hujazisoma bado.
Bado kidogo nifikilie tofauti pia mkuu kwacha utazikuta tunduma border me kule haoanihusu panawahusu songwe wazee wa mkoa mpya
 
Kilimanjaro mountain only cannot make us rich
Rich!! Refer to my post, i aint just said only mountain kilimanjaro can enrich our country though it contributes alot of foreign currency to our country and GDP so to say , try to read before you spoke
 
Nimeyakuta tu haya mambo hats sijui yanatoka wapi na nani alianzisha...
Sakayoooooooo miss youuu uko wapi wangu kipendacho roho am lonely
Lonely nyimbo moja nzuri sana ya akon, mwite sakayo kwa sauti hata mimi nataka nimuone hapa muite tu atakuitikia maana huwa ana sense ukimuita,
 
Back
Top Bottom