Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

a9ea47c54a6e13dbf27fba88c27da667.jpg


illuminati church
The hall were members and grand lodge masters are meets.
 
Mweehee unanitisha tuuu sitaki ata kufaham what is going on there!!
Usiogope ni mikakati na mipango inayoundwa kwa siri sana na kuharibu mifumo iliyojengeka imara na kuiharibu katika utaratibu wake.
Sitaki kusema sana kwa sababu sijapewa mamlaka ya kutoa siri ama kuzungumza kwa undani haya mambo.
The great secret society....
I.L.L.U.M.I.N.A.T.I

856e344d93fe45db59e3b90dae13b648.jpg

illuminati contract number

e34042d98083c5bee1d884f46e6dfc52.jpg

Moja ya ofisi ya grand lodge pre - master,

282fb9d97bce61272e74da30f47f6fca.jpg


Welcome for joining the great illuminati......


 
Usiogope ni mikakati na mipango inayoundwa kwa siri sana na kuharibu mifumo iliyojengeka imara na kuiharibu katika utaratibu wake.
Sitaki kusema sana kwa sababu sijapewa mamlaka ya kutoa siri ama kuzungumza kwa undani haya mambo.
The great secret society....
I.L.L.U.M.I.N.A.T.I

856e344d93fe45db59e3b90dae13b648.jpg

illuminati contract number

e34042d98083c5bee1d884f46e6dfc52.jpg

Moja ya ofisi ya grand lodge pre - master,

282fb9d97bce61272e74da30f47f6fca.jpg


Welcome for joining the great illuminati......


Sasa why unajutia? Naona mapichapicha mkuu uinatosha usitume tena
 
Ni siri nzito ambayo sio rahisi kuieleza kutoka na makubaliano yetu.
Ila tambua kwamba inahusiana na utoaji wa damu ya binadamu,
( kafara )

Siwezi kukataa ni lazima nifuate masharti kama nilivyokula kiapo Siku ya kwanza kujiunga na jamii ya illuminati.
Moyo wangu bado una majeraha mazito baada ya kumtoa kafara mtu muhimu katika maisha yangu.

Mkuu....
Ni hayo tu sitaki kuadhibiwa endapo nikitoa siri zao.
Hayo niliyokueleza nadhani yanatosha.
 
Ni siri nzito ambayo sio rahisi kuieleza kutoka na makubaliano yetu.
Ila tambua kwamba inahusiana na utoaji wa damu ya binadamu,
( kafara )

Siwezi kukataa ni lazima nifuate masharti kama nilivyokula kiapo Siku ya kwanza kujiunga na jamii ya illuminati.
Moyo wangu bado una majeraha mazito baada ya kumtoa kafara mtu muhimu katika maisha yangu.

Mkuu....
Ni hayo tu sitaki kuadhibiwa endapo nikitoa siri zao.
Hayo niliyokueleza nadhani yanatosha.
goldie ink nakuogopa kuanzia leo
 
Back
Top Bottom