Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 6,084
- 6,087
Ulishamuona...Grumeti nin?
Hivi ulianzisha hi thread nakupotea?Habari wanaJF,
Nnaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako.
Mfano:
Ualimu Tanzania ni kazi ngumu kiasi
Kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku
Siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio
Mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari
Madaktari wa Tanzania wanahitaji kulipwa zaidi........ (tuendelee kwa mtindo huo wanaJF, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)
Nafukua kaburi lako mkuuWake wa viongozi wa ccm wanayo kazi maana kila siku fumanizi.
Mkuu Ethos mambo vipiNafukua kaburi lako mkuu
Vipi ulikua wapiMkuu Ethos mambo vipi
Wapi kule hata sipajui mamaafacebookVipi ulikua wapi
Lakini umeadimika kwema kabisa sjui wwWapi kule hata sipajui mamaafacebook
Vipi kwema lakini
Wewe hata nikiadimika jua nakupenda tu mamaafacebookLakini umeadimika kwema kabisa sjui ww
Linitoke janga hili linalonikumba usoni me nimeolewa tayari name msukuma mmoja ndugu yakem@kitukoWewe hata nikiadimika jua nakupenda tu mamaafacebook
Mimi mzima sana tu mkuu ila nimezongwa na upweke unaofanya nikukumbuke picha yako usoni inanifanya chozi linitoke.
kituko cha mwanasiasa uchwara
Zaidi ya yote bado siku moja tuoone mwaka mpya 2017
Itaonekana tu lazima hope uko powa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
The year of making money... 2017
Haijalishi magufuli atabana vipi
Lazima pesa iwe kwenye mzunguko mkubwa..
Pesa itaonekana tu...
Itaonekana tu lazima hope uko powa

My God!! Sina million saba am out![]()
![]()
![]()
Uncle magu anazingua
Kumbe alikuwa anabana
Hela na kukusanya mapato
Ya kodi ili mradi akajenge
Uwanja wa ndege kule kwao
Chato..... Pumbafuuuuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




goodnight