Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,821
- 51,480
Msamaha wa raisi ni ngumu, acha vijana wamenyeke gerezaniImsute Mara ngapi atajirudi akuombe msamaha
Msamaha wa raisi ni ngumu, acha vijana wamenyeke gerezaniImsute Mara ngapi atajirudi akuombe msamaha
Gerezani kuingia s sehem salama na nasikia ukiingia mara moja waweza rudi tenaMsamaha wa raisi ni ngumu, acha vijana wamenyeke gerezani
Tena uniambie ulikuwa uanfanya nini kwenye ule uzi wa yule mtafuta mke, ngoja kituko ajeGerezani kuingia s sehem salama na nasikia ukiingia mara moja waweza rudi tena
Aje tu Shem wangu huuu n uchonganishi wa kiwango cha lami Mimi niliquote tu na mie nimtamftie dogo mwenza Sasa ajabu hajaorodhesha vigezo alivyonavyo ndio nikauliza hakuna lolote baya Shem wangu Kituko ananiamini usinichonganishe naeTena uniambie ulikuwa uanfanya nini kwenye ule uzi wa yule mtafuta mke, ngoja kituko aje
Kimada wa toxic9 n @blacki womaniaje na yule kimada
Wangu wa ubani nimemmiss sanaBlack womani nimemiss hahahahaha yupo wapi mtu wangu,
Wangu una wake wangapiBlack womani nimemiss hahahahaha yupo wapi mtu wangu,
Sana kuliko nnWangu wa ubani nimemmiss sana
Nae toxic9 ana mambo sana, muelezee bwana, mwambie wewe sio wa mchemchezo sasa, umeshatulizwa na umeridhikaAje tu Shem wangu huuu n uchonganishi wa kiwango cha lami Mimi niliquote tu na mie nimtamftie dogo mwenza Sasa ajabu hajaorodhesha vigezo alivyonavyo ndio nikauliza hakuna lolote baya Shem wangu Kituko ananiamini usinichonganishe nae
Nyenyekea mwaka wa kumi huu wala na wala hujatuliaUmeridhika na maelezo yangu Nina uhakika na namwambia toxic9 mie nimetosheka nilipo nikipendwa natulia nikienziwa nanyenyekea
Hujatulia wewe wqpaswa uombewe me nimetulia sana tuuNyenyekea mwaka wa kumi huu wala na wala hujatulia
Sana tu nani kasema? Unafanya kama vile mi nimesimuliwa.. nimeona mimi mwenyewe kuwa hujatuliaHujatulia wewe wqpaswa uombewe me nimetulia sana tuu
Sana sana black womani aje kutoa maelezo mbona ameadimika hivyoWangu wa ubani nimemmiss sana
Wangapi wameridhia ndoa kati yao?? Mamaafacebook lakini wewe mchokoziWangu una wake wangapi
Mchokozi wewe ulienichongeaWangapi wameridhia ndoa kati yao?? Mamaafacebook lakini wewe mchokozi
Wangu una wake wangapi
Hujatulia labda wewe kaka, mamaafacebook II bonge la wife material, we humjui tuNyenyekea mwaka wa kumi huu wala na wala hujatulia