Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kiba ameishiaje na show ya dodoma
Dodoma ni heri kiba alitoka nduki, show nasikia ilikuwa siyo ya hadhi yake, venue ilikuwa ni bar sijuwi grocery, spika nasikia zilikuwa zimebebeshwa na kreti za soda, sasa mtu kama kiba ni wakumwandalia show za kijinga hivyo wanaua reputation yake
 
Dodoma ni heri kiba alitoka nduki, show nasikia ilikuwa siyo ya hadhi yake, venue ilikuwa ni bar sijuwi grocery, spika nasikia zilikuwa zimebebeshwa na kreti za soda, sasa mtu kama kiba ni wakumwandalia show za kijinga hivyo wanaua reputation yake
Yake hadhi haikufaa kupiga show sehem kama hiyo
 
Back
Top Bottom