mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Yetu adabu kwa Mwanamke n lazima na s mwanamke tu hata mwanaume n lazima just na adabu haya shemejiPia naona una adabu sana, utatufaa kwa kweli kuwa Shemeji (magu voice) yetu






Yetu adabu kwa Mwanamke n lazima na s mwanamke tu hata mwanaume n lazima just na adabu haya shemejiPia naona una adabu sana, utatufaa kwa kweli kuwa Shemeji (magu voice) yetu






Wababaishaji uliwah kukumbana nao?Humu hakuna wenza wa kudumu.. Wengi ni wababaishaji
Nyuma ya nyumba Kuna shamba atalima hapoKufika atafika tu, una shamba la kumpa, maana jamaa trekta linafata nyuma
Humu hakuna wenza wa kudumu.. Wengi ni wababaishaji
Nyuma ya nyumba Kuna shamba atalima hapo
Kudumu kwa hiyo furaha itategemea na mhusikaHapo sawa, kihesabie furaha ya kudumu
Kudumu kwa hiyo furaha itategemea na mhusika
M/Mungu mwingi wa rehma Nina hakika ataniruzuku mwenza alie mwemaMhusika ndio mwenye uwezo wa kukupa chochote kiifanyayo nafsi yako iridhike kadiri ya unavyotaka, uhai atakupa Mmungu
Mwema kama mimi si eti,M/Mungu mwingi wa rehma Nina hakika ataniruzuku mwenza alie mwema
Eti naskia unadate na atugMwema kama mimi si eti,
Wapo wapi watu hawa Blacki Womani, supermarket, Ukhuty, nimewamiss kama wapo sehemu yoyote wajitokeze tafadhariWababaishaji kweli wapo, na wa kweli pia wapo
Atug atakuchapa wewe mpaka ukae sawa hahahahaha, nasikia eti unatoka na [HASHTAG]#kituko[/HASHTAG]
Mwema kwelikweli kwa maneno na matendoM/Mungu mwingi wa rehma Nina hakika ataniruzuku mwenza alie mwema
Wapo wapi watu hawa Blacki Womani, supermarket, Ukhuty, nimewamiss kama wapo sehemu yoyote wajitokeze tafadhari
Yangu macho... Mwaka hauishi bila kuwa na mabadiliko ya status kutoka shemeji hadi mke, mpo hapo wakuu # mamaafacebook [HASHTAG]#kituko[/HASHTAG]Kituko cha mwaka hicho, mamaafacebook II ni shemeji yangu
Kituko n shemeji yangu umesikia vibayaAtug atakuchapa wewe mpaka ukae sawa hahahahaha, nasikia eti unatoka na [HASHTAG]#kituko[/HASHTAG]
Yangu hayajui mjuze huyoKituko cha mwaka hicho, mamaafacebook II ni shemeji yangu
Matendo yake yatanidhihirishia hiloMwema kwelikweli kwa maneno na matendo