Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
salama mkuu vpMkuu minji na wadau wote habarini za asubuhi, mmeamka poa,
salama mkuu vpMkuu minji na wadau wote habarini za asubuhi, mmeamka poa,
Sijamboooooo hata mimi,Hujqmbooooooooooo umeivutaaaaaa una maaaana gani me sjamboooooo
Zaidi zaidi hakuna jambo kama hiloMajasho wala sio hatari, we mbona unakula vitu vingine vya hatari zaidi
usiogopeKunani huko mbona kunasifika sana, si wabara tunatishwa kabisa na khabri za Tanga
Tuuuu kama sijapata nisemeje nnae?Naona we mwenyewe ni mchaguzi sana, fumba macho tu
Tanga Kuna mahaba na uchawi mwingi japo sku hizi hakutishi kama zamani ilivyokua inasifika na kupika unaweza jisahau kabisaaaa bass wadigo ndio kabila wanalojua kupikaKunani huko mbona kunasifika sana, si wabara tunatishwa kabisa na khabri za Tanga
Mimi nimeamka na furaha LeoSijamboooooo hata mimi,
..Leo alfajiri inaonekana Mchakato wa Maisha Ulkua dip snaMimi nimeamka na furaha Leo
Hilo lipo sema hutaki kukiri tuZaidi zaidi hakuna jambo kama hilo
Sana yaaani..Leo alfajiri inaonekana Mchakato wa Maisha Ulkua dip sna
Nnae sio ngumu kutamka ukipenda, pole lakini utapataTuuuu kama sijapata nisemeje nnae?
Kupika chakula, Mapenzi, uchawi au vyote? Nawe ni Mdigo?Tanga Kuna mahaba na uchawi mwingi japo sku hizi hakutishi kama zamani ilivyokua inasifika na kupika unaweza jisahau kabisaaaa bass wadigo ndio kabila wanalojua kupika
Utapata wa kufanana naweNnae sio ngumu kutamka ukipenda, pole lakini utapata
Nawe pia utapata, ukishindwa niambie nikuunganishe kwa muhitaji mwenzioUtapata wa kufanana nawe
Mdigo Ana yooooote uliyoyataja yeah me n mdigo na Niko proud naloKupika chakula, Mapenzi, uchawi au vyote? Nawe ni Mdigo?
Mwenzio ningependa nimtambue huyo mhitajiNawe pia utapata, ukishindwa niambie nikuunganishe kwa muhitaji mwenzio
Nalo hilo la mapenzi mazito ya Wadigo, ndilo linalowapumbaza wa Bara mpaka wanalowea hukoMdigo Ana yooooote uliyoyataja yeah me n mdigo na Niko proud nalo
..Nalo nelo hilo ujue Japo bado sina uhakika sna na uthabiti wa wadigo kwenye kwichikwichiMdigo Ana yooooote uliyoyataja yeah me n mdigo na Niko proud nalo
Mwenzio ningependa nimtambue huyo mhitaji
Huko n kujiendekeza tuNalo hilo la mapenzi mazito ya Wadigo, ndilo linalowapumbaza wa Bara mpaka wanalowea huko