Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,672
- 50,991
Tanzania kuna amani ya uoga na hofu tusidanganye ni kisiwa cha amani kama inavyosadikikaKushonwa mdomo kwa kigezo cha kuitwa mchochezi inatia aibu ya nchi yetu ya Tanzania
Tanzania kuna amani ya uoga na hofu tusidanganye ni kisiwa cha amani kama inavyosadikikaKushonwa mdomo kwa kigezo cha kuitwa mchochezi inatia aibu ya nchi yetu ya Tanzania
Uhalisia wa mambo ni kwamba pesa imekuwa ngumu sana mtaani..Inavyoandikwa habari ya uchochezi ni tofauti na uhalisia
Sana sana tutaishia kuisoma namba 1-100Mtaani kwetu sherehe imefana sana
Zero ni wimbo mzuri sana wa Chris Brown1-100 ni namba ambazo sote tumezisoma na kuzielewa vyema, sasa tujitahidi kuzisoma na namba za kirumi tukianza na zero
Dikteta ukimwona unamjua?brown ni rangi ya dikteta
Unamjua? Kwani faru John humjui?Dikteta ukimwona unamjua?
John humjui? ngoja akutumbue ndo utamjuaUnamjua? Kwani faru John humjui?
Utamjuaje mtu kama huyu katokea wapiJohn humjui? ngoja akutumbue ndo utamjua

nimecheka
Hahaha dah
Nimecheka sana... huyu atakuwa fundi kuchomelea
Nimecheka na huyu
Huyu hachekeshiNimecheka na huyu
View attachment 450246
Chriss brown akifanya collabo na Alikiba au diamond itakuwa poaZero ni wimbo mzuri sana wa Chris Brown
Hachekeshi sana kama yule mwingineHuyu hachekeshi
Mwingine yupi?Hachekeshi sana kama yule mwingine
lock haitoki bar ladba upunguze mawazo