Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,672
- 50,991
Unamaanisha nini kujiita minji mkuuBarabara hii tupitayo ndio unamaanisha
Unamaanisha nini kujiita minji mkuuBarabara hii tupitayo ndio unamaanisha
Mapema leo nimeamka nikagundua kuwa watanzania ni nouma wanajuwa kupika banah wahindi chali yani hizi harufu za viungo kutoka kwa majirani nimekoma leo, hapa naandaa malipizi....Mawazo ya mapenzi yanaweza kukufanya ufe mapema
Mapema leo hii kuna taarifa za uzushi, Kumekuwa na taarifa ambazo si nzuri juu yangu na zimekuwa zikivuma kwenye mitandao ya kijamii eti mimi situmii pilau, kuku, mbuzi na mambo mengine yanayohusu kula. Nasema mkiziona hizo taarifa mziipuuze sio taarifa sahihi zina mlengo wakunifanya nife na njaaMawazo ya mapenzi yanaweza kukufanya ufe mapema
Njaa hizi daah watu wanazibebea katika guniaMapema leo hii kuna taarifa za uzushi, Kumekuwa na taarifa ambazo si nzuri juu yangu na zimekuwa zikivuma kwenye mitandao ya kijamii eti mimi situmii pilau, kuku, mbuzi na mambo mengine yanayohusu kula. Nasema mkiziona hizo taarifa mziipuuze sio taarifa sahihi zina mlengo wakunifanya nife na njaa
Gunia zilizotumika kubebea pesa za IPTL zafaa ziwekwe kwenye jumba LA makumbushoNjaa hizi daah watu wanazibebea katika gunia
Makumbusho ya Rwanda pananuka maviGunia zilizotumika kubebea pesa za IPTL zafaa ziwekwe kwenye jumba LA makumbusho
Mavi? Nakumbuka methali ileeeeee mavi ya kale hayanukiMakumbusho ya Rwanda pananuka mavi
Hayanuki kwasababu ni ya kaleMavi? Nakumbuka methali ileeeeee mavi ya kale hayanuki
Kale katabia ka kukamata wakosoaji kanatishia kweli hali ya demokrasia nchini hapa kwa sizonjeHayanuki kwasababu ni ya kale
Sizonje hii ndiyo nyumba yetu, milango ipo wanapita madirishaniKale katabia ka kukamata wakosoaji kanatishia kweli hali ya demokrasia nchini hapa kwa sizonje
Sizonje kwenye hii nyumba milango anaiona lakini anapita madirishaniKale katabia ka kukamata wakosoaji kanatishia kweli hali ya demokrasia nchini hapa kwa sizonje
Madirishani kwa waswahili kumejaa miswaki vipodozi na viwembeSizonje kwenye hii nyumba milango anaiona lakini anapita madirishani
Viwembe na sindano havifai kutumia pamojaMadirishani kwa waswahili kumejaa miswaki vipodozi na viwembe
Pamoja kwa umoja tutafika. Wazima humu?Viwembe na sindano havifai kutumia pamoja
Humu ulipotea kabisa ukafichwa kabisa dear, nimekumissPamoja kwa umoja tutafika. Wazima humu?
Viwembe ni hatari sana vikipita kwenye ngozi ndiyo basi tena ngumu kidonda kushonwaMadirishani kwa waswahili kumejaa miswaki vipodozi na viwembe